Kweli kabisa huyo ndio mfalme wa entertainment tzZaid ya watu 24,000/= Jana walikesha kumfatilia Diamond plutnumz.
Hii sio kawaida, hakuna mtu bongo
Hii alishawah kwenda YouTube live na akatizamwa na watu zaid ya elfu kumi.
Ifike wakati media zeny bifu na Huy dogo wakubali tu kwamb dogo moto wake hauzimik na kukubalika kwake na wananchi ni tofauti. View attachment 1149195
Mzee baba inaonekana unaipenda Sana clouds ila mtoa mada kaongea ukwel haijalishi upend au unaenda na ile ilikuwa happy birthday tu je ingekuwa harusi ingekuwa?Kwani msipowataja Clouds mtapata shida gani??..
Sio kweli mkuuZaidi ya 20m+ ya watanzania wanasimu zenye huduma ya YouTube lakini wewe 24k tu wamekuchanganya
Dullar kama Dulla yey yupo poa tu kwa sababu hana tatizo na Diamond. Issue ya Diamond na EATV ni ya kibiashara lakini kama ilivyo ada, kuna baadhi ya watangazaji wetu huwa wanachukulia issue za kibiashara za kampuni zao too personal; as if hizo biashara ni za baba zao wakati wao ni wapita njia! Mcheki mtu kama Sam Missago, kawaachia EATV binafsi bifu lao na Diamondm lakini yeye yupo even!EATV hasa akina dulla nao wanasemaje juu ya hilo suala
Wanataka kumpa U Mungu mtu bt mission failedKwani wenye media wamesema kuwa wanamhitaji?
Au wamekutuma uwasemee wewe?
Achana anao kaka hujawazoea tuu hahahaaaa24k ndo watu wengi??
Hivi mnajielewa kweli.nilitegemea useme labda 500k+ huko
Maboya hao hahahahahaaaaaaaaaa achana naoZaidi ya 20m+ ya watanzania wanasimu zenye huduma ya YouTube lakini wewe 24k tu wamekuchanganya
Clouds hawana mpango achen kuwewesekahahaha clouds wanapita kimya kimya hapa
Wanamchukia tu Diamond lakini ndani ya mioyo yao nafsi zinawasuta sana
Weweee kibongobongo ndo nn achana na sisi tuondolee ushenz wako...juz mmetuletea hapa kwamba jamaa sijui ndo anaongoza AFRICA kwa subscription za u tub kwa watu mil 2 wakat kuna akina macj angels huko wana mil 5..tuachiwn upuuz wenu na kajitu kenuKibongo kibongo 24k kukuangalia live ni wengi sana... Ukiachan na hzo takwimu zako mkuu.
Nyie ndo mnaumia kuona mtu wenu hatrend clouds the biggest FM radio in TZHasa wale wakipindi cha shilawadu
Hasidi huwa hana sababu siku zoteHao wanaomchukia sijui hata sababu za wao kumchukia.
Ungempa na mfano wa msanii wa Bongo ambaye alishafikisha viewers zaidi ya 24k,huyu jamaa bhana,anamsifia Mond wakati kuna watu kama wewe unawafahamu wasanii walompita mbaaaliii hapa Bongo.24k ndo watu wengi??
Hivi mnajielewa kweli.nilitegemea useme labda 500k+ huko