Nimepiga kapokea mtu mwngne kantusSijadanganya hiyo ndo namba yangu😉😉😉😉
Hayo ndo manenoUkitaka upewe namba unatanguliza hela ya vocha, halafu ndio unaomba namba...
Napatikana mbona labda utakuwa umekosea namba moja😉Mbona hupatikani?
Hahahahahahahahaaaa itakuwa ulikosea namba mojaNimepiga kapokea mtu mwngne kantus
rap beast
Watatoa lakini c halisi wanazotumia.Utasikia oohh ya nin, sina simu e.t.c...wewe nipe namba tucheze "Mutuwashi"
Sent using Jamii Forums mobile app
namba kwa watoto wanaojifunza mapenzi ni usumbufu tehmiss chagga akikupa namba anamaanisha wewe ni boss haswa na maranyingi anaanza kukupa namba ya bank
sijui aisee na nikitoa kublokiwa kuna fuataIla nikikuimbia ule wimbo "naomba unipende kama nilivyo mi msela..." hapo lazima namba utoe tu hatakama mfukoni sina senti
Ww ni mwanamama?