Fact: Wanawake wengi wanashindwa kulijibu hili swali rahisi

Fact: Wanawake wengi wanashindwa kulijibu hili swali rahisi

Hapo sasa, sijui anataka namba akazihesabu
Ahesabu arudi basi.....kakaa anakusubiria Pm.
Kuna mmoja namsitiri, bingwa wa kulala na kuamkia kwenye Pm yangu.
Tunafunga mwaka sasa Ila hata kusema siku anipe pesa ya bando, kakausha tu.
Anasubiri wanaume wenzake waninunulie, ye aje kubutua Pm, sasa namsubiri kwa hamu.
Na si kwamba namba yangu hana, anayo.
Siku naenda kumnywea gongo na ganja....
Atatokea alipoingilia.
Labda aone hii comment yangu ndo ajishaue kutuma.
Mijanaume ya humu mibahili, au sijui kwa kuwa % kubwa wote ni Ben-10?
 
Wanawake wengine Siku hizi wao ndo wanawaanza kuwatongoza wanaume, yani wao ndo wanaomba namba za wanaume Kwa taarifa yako! Ndo maana wanaume wanatakiwa kujielewa vizuri sana Kama Yusuph! Cha ajabu wengi wanategwa na wananaswa sijui kwanini aisee ?! Sijui awereness haipo [emoji87][emoji87][emoji87]
Sijawahi muona fisi akifuatwa na mbuzi, hata kama kashiba amwache mbuzi eti kisa ameshiba
 
Ahesabu arudi basi.....kakaa anakusubiria Pm.
Kuna mmoja namsitiri, bingwa wa kulala na kuamkia kwenye Pm yangu.
Tunafunga mwaka sasa Ila hata kusema siku anipe pesa ya bando, kakausha tu.
Anasubiri wanaume wenzake waninunulie, ye aje kubutua Pm, sasa namsubiri kwa hamu.
Na si kwamba namba yangu hana, anayo.
Siku naenda kumnywea gongo na ganja....
Atatokea alipoingilia.
Labda aone hii comment yangu ndo ajishaue kutuma.
Mijanaume ya humu mibahili, au sijui kwa kuwa % kubwa wote ni Ben-10?
Ha ha ha vi ben 10
 
Back
Top Bottom