Alphaking2023
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 2,092
- 2,123
Biblia imeeleza kila kitu kinachofanywa na wanasayansi kwa sasa ni marudio tu kwani biblia imeshasema hakuna jipya chini ya jua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni ki.laza hili jukwa halikufai mkuu...nenda mmu na chitchat huko.Biblia imeeleza kila kitu kinachofanywa na wanasayansi kwa sasa ni marudio tu kwani biblia imeshasema hakuna jipya chini ya jua
Be blessedWewe ni ki.laza hili jukwa halikufai mkuu...nenda mmu na chitchat huko.
Hoja dhaifu sana hii[emoji115]Biblia imeeleza kila kitu kinachofanywa na wanasayansi kwa sasa ni marudio tu kwani biblia imeshasema hakuna jipya chini ya jua
Wewe ni ki.laza hili jukwa halikufai mkuu...nenda mmu na chitchat huko.
UbarikiweNaitaji muda wa kusoma hii, kitu ili nielewe
inakuwa na afya zaidi ukieleza udhaifu wa hoja.Hija dhaifu sana hii[emoji115]
Vitabu vyote vinaheshima yake na sehemu yake kwa jamii ya mwanadamu pamoja na faida na utofauti uliopoBiblia ndicho kitabu cha kweli kuliko vyote,hata quran ilishushwa na shetani'dajjal' ili kuipinga biblia,najivunia sana biblia
Huwezi mtu ukasema hivi[emoji116] bila kufafanuainakuwa na afya zaidi ukieleza udhaifu wa hoja.
Hivi biblia imewahi kusema kutakuwa na ndege za pangaboi?Huwezi mtu ukasema hivi[emoji116] bila kufafanua
Biblia imeeleza kila kitu kinachofanywa na wanasayansi kwa sasa ni marudio tu kwani biblia imeshasema hakuna jipya chini ya jua
[emoji124] any way, endeleeni na thread yenu
[emoji2] Nionavyo mimi biblia ndo inaleta vitisho kwa waumini kushindwa kuichunguza dunia.Hivi biblia imewahi kusema kutakuwa na ndege za pangaboi?
Kutakuwa na upandikizaji wa vichwa?
Kutakuwa na treni maana akina Yesu walipanda punda
Nisaidie kumwita mleta mada
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Nimezisoma[emoji2] Nionavyo mimi biblia ndo inaleta vitisho kwa waumini kushindwa kuichunguza dunia.
Maana hao wanaamini kuichunguza kazi ya Mungu ni kumchunguza Mungu pia.
Soma post za @chamilton vizuri alizochangia hapa, alafu utaona bible jinsi inakinzana na science
Exactly,Nimezisoma
Mimi sipendagi tu kwere maana mleta mada "talking loud saying nothing" yaani anaandika maneno mengi halafu pointless
ONE RESULT OF THE ENLIGHTENMENT NI PALE WATU WALIPOANZA KUSOMA BIBILIA KWA AKILI ZAO NA KUGUNDUA MAMBO KIBAO YALIYOSAIDIA DUNIA.This proves thats; kumbe sayansi mnaikubali lakini hamtaki izidi biblia na mnajitahidi kutaka kujitetea kuwa kuna scientific informations kwenye bible.
Ni kweli, bible was the science of old era. Europe history imegawanyika katika eras mbalimbali ikiwemo Dark Ages au kipindi cha dini kutoa explanations za kila kitu, it is called dark ages kwa sababu ya delusions iliyokwepo, Renaissance ambapo science ikaanza kuzaliwa na Enlightenment ambapo science ikaanza kutawala. Hizo eras ni muhimu sana kutokana na upekee wa kila moja. Before, bible na religions nyingi ndio zilikuwa zinaprovide informations kuhusiana na dunia, imetoka wapi, how we were created, kupitia mythology na beliefs n.k then ilipofika age of Enlightenment takribani 1700 ndipo zikatengana baada ya Religious explanations kukataa kubadilika na kutishia execution kwa scientists.
Utengano huo mpaka leo upo na ni kutokana na kuwa religions zinajiona superior na zina elimu ya juu zaidi even when it can't be tested, observed, analyzed and questioned.
WORD!.....Yaani mnara wa Babel ulimfanya Mungu ashuke kuja kuzuia ujenzi wake.Huoni kuwa wanasayansi wa zamani(ma engineers na ma Astronauts) walizuiwa na Mungu kufanya tafiti zao?Kama unavyoeleza ni sawa lakini hiyo hiyo bible ilikuwa inatuaminisha ukiuchunguza sana ulimwengu unakufuru Mungu hapendi (rejea mnara wa babeli) hata kuchelewa kwa technology huwenda ilichangiwa zaidi na bible hiyo hiyo
ONE RESULT OF THE ENLIGHTENMENT NI PALE WATU WALIPOANZA KUSOMA BIBILIA KWA AKILI ZAO NA KUGUNDUA MAMBO KIBAO YALIYOSAIDIA DUNIA.
Namkumbuka mzee mmoja baada ya kusoma zaburi8:8 aliamua kuingia baharini na kuzisaka njia, Na leo dunia inamuenzi kama Father of OCEANOLOGY na "The path finder",
Newton was the product of The age of reasoning. The enlignment and scientific revolution was powered by individual reading of the bible.