ONE RESULT OF THE ENLIGHTENMENT NI PALE WATU WALIPOANZA KUSOMA BIBILIA KWA AKILI ZAO NA KUGUNDUA MAMBO KIBAO YALIYOSAIDIA DUNIA.
Namkumbuka mzee mmoja baada ya kusoma zaburi8:8 aliamua kuingia baharini na kuzisaka njia, Na leo dunia inamuenzi kama Father of OCEANOLOGY na "The path finder",
Newton was the product of The age of reasoning. The enlignment and scientific revolution was powered by individual reading of the bible.
Kwa sababu walikuwa wanatafuta facts kujua kweli ipo wapi.
Enlightenment ni neno lililotoholewa kutoka Indian Spirituality kumaanisha utambuzi au awakening. Kuamka katika ujinga na delusions.
Pia Msijifanye kusahau wanasayansi walikuwa wanauawa na kuteswa kikatili na kinyama. Why? Mwanadamu mwenye akili timamu huwezi kumfanyia mwenzako hivyo. Ni dalili za ujinga. Tena mapapa na viongozi wa kidini walichangia mauaji makubwa. Kama religions zilikuwa zinauhakika kwanini ziue na kuchoma kama mishkaki wanadamu ambao walionekana wasomi watakaoleta changamoto? And they teach love thy neighbor. Its a shame.
Michael Servetus - Mwanasayansi wa medicine, sayansi na law.
Kuchomwa kwa Giordano Bruno.
Aliuawa na kuchomwa kama stake mbele ya watu mwaka 1600 kwa maagizo ya papa.
Giordano Bruno supported the Copernican view – the view that the earth orbits the sun, and that the earth is not the center of the universe.
More than this, he held the thoroughly modern view that distant stars are orbited by their own, possibly inhabited, planets. He stated that the universe is infinite in size and has no center.
He was imprisoned for seven years while his trial took place. Eventually the Pope decided that Bruno was a heretic, with the result that he was burned at the stake in Rome. His beliefs about the earth, sun and universe were part of the reasoning behind his death sentence. He was also declared a heretic for his religious views about, for example, the Catholic Mass and the Trinity.
Kuna Archimedes, Antoine Lavoisier, na wengine wengi sana katika list waliuawa na Christianity. Is that what bible says? Shame on those who called themselves christians. Hata hao mapapa nao wanastahili kuchomwa moto kama kweli kuna motoni. Nao ni wanadamu wa kawaida na wajinga kama watu wa kawaida.
Hii ni list ya wanasayansi na philosophers waliochomwa, kunyongwa na kuuawa kikatili kutokana na kuchallenge mitazamo ya bible.
May their souls gets next life safely.
List of people burned as heretics - Wikipedia