Facts: 16 most powerful militaries in Africa

Mkuu hivi huu ni uchambuzi wa Yericko au ni ripoti ya CIA??

Ulichojaribu kutuaminisha na kwamba JWTZ si lolote na wachambuzi wako sahihi mimi nataka kukuuliza swali moja unajua kwamba zile PSPF towers mbili ni za tano kwa urefu africa lakini jengo la nne limezidiwa urefu na PSPF towers ila kwa sababu lina mnara tu wa mita kumi kule juu basi limechukuliwa kama refu kuliko hizi towers hapo ndio uone sometimes vigezo vinavyowekwa havireflect sana uhalisia
 
Yericko kubali tuu umekalia heater (umechemka)mchango wako ulionyesha kabisa ni mtu mwenye volatile IQ
 
Hizo rank ni upuuzi mtupu. Congo drc tumeenda kuwasaidia kuwapiga m23 halafu waseme eti ipo juu ya Tanzania,my foot!. What they always do nite just to count the number of tanks,fighter jets etc. They don't take field experience, past experience,military experience,operational achievement etc. So these ranks are just are just stinking garbage.
 
teh teh teh teh het wanajeshi wa tanzania kwa kuvunja matofari kwa kichwa wako safi!
 
Imeandaliwa na wafaransa unasemaje watie mguu au?
 
Kama kila kitu unachoona kwenye mtandao ni taarifa unayoiamini, basi kuna siku Rwanda au Malawi watapanga orodha ya majeshi bora utayaamini kama unavyofanya sasa hivi. Hapa unaonyesha uwezo mdogo sana wa kuchambua taarifa na vyanzo vyake. Unatakiwa kukubali na kujifunza kwa hiki.Msumbiji, DRC,Somali na Sudani, you are not serious!
 
Tumeshafeli kila mahali,, na kila siku tunasema humu... Tunajiona tuko imara kumbe tunajichoresha wenyewe pasipo kujua... Jeshi ni dhaifu,tukubali tukatae... ili uwe na jeshi imara unahitaji uzalendo jeshini, vijana wenye taaluma sahihi na sio za kisanii, watu shupavu..leo hii mfumo wa ajira jeshini wote mnaujua... Jeshi la tanzania kwa 95% vifaa linanunua,,, hatuna wakufunzi wanaoendana na dunia, nafikili mnao wachina na wazungu walivyojaa kuja kufundisha,, Sasa siri iko wapi hapa?? 78% ya wanajeshi tuko nao mtaa na mambo ya kili kama kawaida... Taasisi ya usalama ndio imeoza kwisha kazi, wengi wamebaki kuwa vibaraka na makuwadi wa wanasiasa na matajiri wakubwa... MKUU WA NCHI NUSURU HIKI KITENGO SIRI ZA NCHI ZIKO UCHI HAWA JAMAA HAWAJUI MAJUKUMU YAO NA WENGI SI WAZALENDO WANANUNULIKA KIRAHISI MNO,, ngono, sifa za kijinga, usela mavi, ulevi .. wa watu wa hiki kitengo unaangamiza taifa na this is very serious,,,, mkuu wa kaya niwepesi mno kwa sasa sisi, kijeshi na kiusalama...
USALAMA WA TAIFA IUNDWE UPYA NA KUWE NA MFUMO MAALUMU NA SIO HUU UNAFIKI ILI TUPATE WATU WAUHAKIKA NA SIO MJOMBA AU SHANGAZI... MUUNDO WA JESHI NA AJIRA ZAKE UANGALIWE KWANI KUNA SIKU TUTASHIKWA MATAKO HAPA NATUSIFANYE KITU...
TAASISI NYINGI NYETI HAPA KWETU HAZINA WATU WAZALENDO NA HAZIANGALIWI KWA MASLAHI YA TAIFA,, ,, mfumo unaitaji kujengwa upya,, watanzania hatuko salama kama tunavyoamini!!!!
 
Imeandaliwa na wafaransa unasemaje watie mguu au?

source of data?...ni france au vibaraka wao? sijasema aliyepublish-Ufaransa wamepublish tu. Kuna mwandishi na publisher....kama nawe unaamini upuuzi huu nakupa pole sana. kwa akili yako somalia inajeshi kuliko JWTZ? jaribu kusumbua akili yako ili upate majibu sahihi
 
Sina utaalam wa kijeshi ila inabidi tusiidharau hii ripoti! Joseph Kony inawezekana akawa ni political project Wa mfumo gandamizi NRM! Kwa upande Wa vikundivya kigaidi Bokoharam' alkaida na alshabab ni vigumu kuvitumia kupata tathimini ya nguvu za kijeshi dhidi ya nchi Fulani! Pia nchi kubwa zinasumbuliwa na makundi haya ya kigaidi!
 
Hata mimi sikubaliani na utafiti huu. Jeshi letu ndiyo tunu tuliyobaki nayo. Achana na upuuzi huu wa CIA. Inaelekea wanataka kuhalalisha kipigo walicho wahi kupata Somaria enzi za akina Farah Aideed.
 
Yericko mwehu kweli bawacha wamekuharibu unaleta umbea wako usiokuwa na maana.
 
Wazungu wajinga sana leo wafaransa wamepigwa halafu wanakuja kutuzushia uongo sisi wakafie mbali huko hatudanganyiki.
 
Hakuna ubishi jeshi letu liko imara sana hata waliowekwa juu ni propaganda tu za kuuza silaha,hapo kidogoo,algeria na ethiopia lakini wengine wote vibonde tu
 
Mkuu wangu nisamehe sana, sijaandika mimi haya,

Hiyo link inaeleza vizuri walioandika hayo!

Ujaandika wewe lakini umeonyesha kuwaunga mkono walioandika bila kujua lengo lao ni nini mpaka watuweke nyuma ya Somalia na DRC
 
hata kama,eti DRC na SOMALIA??
siwezi iamini kamwe ripoti mfu kama hii!
>>serikali ya c.ce.m ni legelege lakini kwa upande wa majeshi hatujafika huko hata kidogo!.

Kama serikali ya CCM ni legelege sasa unakataa nini?
Hujui ilani ya chama?
Lini ulishasikia mwanajeshi anadai mshahara?
Lini ulishawahi kusikia mwanajeshi analalamika kodi ni kubwa ?
Lini ulishasikia mjeda anadai huduma ya afya ni mbovu?
Yote hii wanayopewa ni Rushwa tu hawawezi kufurukuta wajinga hawa lkn ndugu zao wanakufa kila kukicha na hawawasaidii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…