Facts: 16 most powerful militaries in Africa

Mtu aliye andaa hii report Nilazima alipata kuwa miongoni mwa wale PANYA ROADS.
 
Kitu kingine kinachochekesha ni pale unapoangalia picha ya kikosi cha Kenya(KDF) , wanajeshi ni weupe kuliko wanajeshi wa Libya. Teh teh Teh!
 
Tanzania ina watu wanauelewa mdogo sana yeriko yeye kaleta utafiti uliofanywa na wewe leta was kwako. Miaka 5 ijayo Tanzania itakuwa na wajinga wengi sana, mungu wasaidie

Nyie watu bado hamjarudi kwenu tu.? mnafanyanini... nchini.
Ngoja nikawaite wazee wa immigration.
 
kuna kipindi kuliletwa uzi kuhusu uimara wa jeshi letu pamoja na kuchangia na kukueleza kuwa jeshi la sasa haliko imara kama unavyofikiria ulikuwa wa kwanza kubisha sifa kubwa ya jeshi lolote duniani ni nidhamu lakini jeshi letu la sasa halina nidhamu rushwa mpaka kuchagua wanaoingia jehini badala ya kuchagua wanaokidhi vigezo hayo ndio yamechangia kiasi kikubwa
 
ukiangalia sabab walizoweka unajua kabisa utafiti ni mavi kama arm size sijui idadi ya trunks etc


tumeona vijesh vya waasi kma boko haram Isis alshabaab m23 etc vikisumbua hayo majeshi makubwa

vita sio idadi ya wanajeshi au vifaru

Tz tuko imara
 
sure the list is endless
Nigeria still ass whooped by boko haram!
 
kianachojadiliwa nadhani ni silaha na manunuz yake,bajet ya ulinz n.k
 
 
Watu wanaleta vijembe na viroja badala ya kujadili mustakabali wa Nchi na Usalama wake.
Iwe ya ngapi si hoja sana! Je inakidhi haja ya kutulinda kwa sasa na je mwelekeo wake mbele ya safari uko ukoje?

Kuna eneo limenigusa sana nategemea wale wa Makao Makuu ya JWTZ na pale Magogoni wanaliona na kulifanyia kazi- in ten years ahead.


Kwa uwepo wa rasilimali hii kuna haja ya haraka kubadili mwelekeo wetu kwenye aina ya vyombo vya Moto vinavyotumiwa na Jeshi.Ni vizuri kipaumbele ikiwa kwenye vyombo vinavyotumia Gas.Fast Growing Tanzania Looks To Begin LNG Production By ...
Na ilikufanikisha hili kwa uzuri zaidi na kwa uhakika Kiwanda cha Jeshi cha Nyumbu Kibaha kijielekeze kwenye utafiti au Ushirikiana na Makampuni ya Nje kuanza kutengeneza Engine zinatotumia Gesi.



Mfano.
CC Yericko Nyerere
 
Last edited by a moderator:


Baelezee mkuu!
 
Kenya wanaweza kuwa juu yetu lakini sijaelewa kuhusu Zimbabwe,,Sudan,D.R.C aliyeelewa vigezo vilivotumika anaeleweshe zaidi... na inakuwaje kuhusu Naigeria kuzidiwa na Boko Haram..!!?
 
Hiyo taarifa siyo ya kweli,Congo wangekuwa na jeshi zuri wasingekuja kutrain maofsa wao kwetu au mmesahau kuwa walikamisheni juzi Arusha/
 
Hizi takwimu zao hata hazina uelekeo nigeria wameshindwa kuwajua wale mavinti 200 mpaka leo wana jeshi gani kama sio majanaga
 
jeshi Imara au maisha bora, lakin nimeona maisha bora kwa wanajeshi, ni upuuzi sisi tunaumia
 
Usipende kuendekeza siasa kila sehemu. Hata wasioipenda ccm watakupuuza.
Uaminifukazi hapo ndio ujue matako yanapochukua nafasi ya kichwa ndio mtu huwa anafikiri,kusema au kuandika maneno kama hayo,mtu kama huyu hata uume wake ukigoma kusimama atasema si unaona uume wa ccm huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…