Facts: 16 most powerful militaries in Africa

Hao Nigeria, South Sudan, DRC, Kenya, sijui Uganda wote wanasubiri kwa TPDF
 
This is not professional ranking but a joke or something!
 
Sisi kazi yetu kujisifia tu..oh sijui jeshi letu noma oh sijui nini nakati facts zipo, ndio maana ata kwenye mpira kila siku tunakwama kwa kujiamini na kujisifu sifu tuu wakati facts zipo.
 

hizi takwimu feki ambavyo nigeria wanasumbuliwa na boko haramu leo useme wana nguvu uuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!
 
wangeweka na vigezo vya kushinda mission mbali mbali, lkn hao wanaonenkana kuwa wana majeshi imara wanasumbuliwa kila siku na vikundi vya wanamgambo, sisi tunaweza kusema tumeweza kushinda kwenye mission mbalimbali kama uganda, commoro, DRC , nk....yaani huu ni uongo uliopitiliza DRC wamewashindwa M23 mpaka sisi tumeenda tukamaliza huo upuuzi kwa muda wa week tu!.....WE DONT HAVE NUCLEAR BUT WE HAVE SPIRIT!
 
furaha yake ni kwamba jamaa wameshindwa kujua uhalisia wa nguvu na weakness zetu kirahisi
 
You never know wanaangalia vigezo gani. Ila wakumbuke tu kwamba Tanzania ndio mwalimu wa majeshi mengi ya kusini mwa Africa na kapigana kwenye official wars [Uganda] na Proxy wars[Zimbabwe, Mozambique etc] za kutosha tu
 
Osama alitukumbusha nadharia ya ugumu wa yai kubomolewa toka nje na wepesi wa kutokea ndani.
Nchi zote tajwa zimesha bomolewa toka ndani ukiacha kama tatu tu, hivyo uwezo wa kijeshi unaweza athiriwa na wake za wanajeshi wanaowalilia wakienda vitani.
 
You never know wanaangalia vigezo gani. Ila wakumbuke tu kwamba Tanzania ndio mwalimu wa majeshi mengi ya kusini mwa Africa na kapigana kwenye official wars [Uganda] na Proxy wars[Zimbabwe, Mozambique etc] za kutosha tu

nadhani watu wengi wamekurupuka kuangalia nani yuko namba ngapi badala ya kusoma nini kimeandikwa katika kila jeshi interms of ukubwa wa askari,magari ya deraya,ndege za kivita na meli za mapigano.jeshi letu halijakuwa tested,kutoa askari kadhaa kwenda kupigana na kushinda katika mission siyo kigezo cha kuwa na jeshi imara.je nyumbani kwako una nini?hicho ndicho kinachoangaliwa na siyo ulikwenda kutembea wapi ukamshinda nani
 

mkuu naona kama umekurupuka bila kusoma nini kimeandikwa katika kla jeshi la nchi husika.kigezo ni what do you have as an army,na siyo kwa kuwa askari wako 200 walishinda katika mission flani
 
hizi takwimu feki ambavyo nigeria wanasumbuliwa na boko haramu leo useme wana nguvu uuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!

soma maelezo vizuri kwa nini nchi husika imewekwa katika nafasi husika,usiangalie namba tu 1,2,3,4,5,6,7.............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…