Facts About Tanzania - East Africa You Did Not Know About


Umasikini wetu umeletwa na uongozi mbaya wa miaka mingi. Kagame ameweza kuibadilisha Rwanda na hana what we have, why we are so behind and yet we are richer than our naibours? Our leaders have failed us and corruption and selfless within our leaders are destroying our economy and made us the poorest in East Africa what a shame!
 
Hahahaha, nakwambia utajiri unauma kama njaa! Na ndiyo hapo unapopata ideas za maendeleo na kama kawaida charity begins at home! Umefanya nini kwenye familia yako?
 
Sasa wewe unaleta links za ajabu.
leave it to a tanzanian to call the IUCN link a "link ya ajabu"

Nimekuambia unieleze mpingo unapatikana wapi kenya?
i told you i own land with mpingo(or muvingo as we call it) tree.

here is an academic paper


so now i go back to my original question,
your own link says that it is found in tanzania AND mozambique.

so my question still stands, where is the proof that is it ONLY found in tanzania
Huu mti unaitwa mpingo, Ni noma unapatikana Tanzania pekee.
show us the proof that it is ONLY found in tanzania or admit that statement was a brain fart and you didnt think twice before posting that nonsense.

hapa leo kitaeleweka kwamba your are full of shit. kijana toa proof! you can run but you cannot hide annael. leo umepatikana.
 
Hahahaha, nakwambia utajiri unauma kama njaa! Na ndiyo hapo unapopata ideas za maendeleo na kama kawaida charity begins at home! Umefanya nini kwenye familia yako?
unapouliza swali kama hili unatakiwa uwe unanifaham, usiulize kufurahisha baraza

sioni mantiki ya wewe kuniuliza hilo swali hali ya kuwa hunijui
 
Hakuna mti unaoitwa muvingo.
 
Whatever you believe it will happen to you! Ukiwaza blessings zitakufuata mpaka kizazi cha nne ukiwaza laana basi nayo itahamia kwako mpaka kizazi cha nne!

I do not believe in miracle, I believe in actions. Mafuta ama gas itamsaidia Mtanzania iwapo Viongozi wetu hawataigawa kwa manufaa yao wenyewe. For example entering into unfair contracts, badala ya taifa kunufaika wawekezaji wananufaika. Tumeona nchi nyingi kama Sera lone baada baada ya kugundua diamonds, iliwauwa wengi kwa vita badala ya maisha bora. (Blood diamond). This has nothing to do with mawazo mabaya, ni kuhusu uongozi bora. Mali zetu zitatusaidia tu kama viongozi wetu wataziangalia huku wakitufilia kama taifa, lakini wakifikilia wenyewe, gas or oil, will never change our lives.
 
unapouliza swali kama hili unatakiwa uwe unanifaham, usiulize kufurahisha baraza

sioni mantiki ya wewe kuniuliza hilo swali hali ya kuwa hunijui
Unajiaibisha
 


Hapana tumebaki masikini, ni Watanzania wengi masikini kuliko matajiri. Na hawa matajiri, wengi wao ndiyo wametufanya sisi wengi tukawa masikini kwa kupiga dili na kuwadhurumu walio wengi. Mali za nchi lazima zitumike kwa watu wote. Hakuna raha kuishi kwenye nchi wakati watu 30 ni wana utajiri mkubwa na watu milioni 50 wanakula panzi. Hiyo sio siri, mtalii yeyote akiingia Tanzania anashangaa, wengine wanauliza inakuwaje tunakuwa masikini wa kutupwa wakati nchi ina utajiri mkubwa? Kama wewe huoni huu umasikini basi pengine uko kati ya watu 30 matajiri.
 
Hakuna mti unaoitwa muvingo.
annael you suffer from a severe case of verbal diarrhea and now your words have come back to bite you. show us the evidence that mpingo is ONLY FOUND IN TANZANIA as you claimed.
Huu mti unaitwa mpingo, Ni noma unapatikana Tanzania pekee.

Show us the proof.

i will not let you ignore or forget this question until you answer or acknowledge that you fabricated a lie. either way you wont squeal and squirm your way out of your lie!
 

Tusisingizie western people, let us agree that we are poor because of bad leadership. We have seen Africans dying in the sea trying to escape poverty and yet Africa is rich, full of sun shine, full of resources, but we lack leaders with integrity. Ni Viongozi wetu wana to let down. Mtu utanyakuwa mabillion na kuacha taifa likifa na njaa bila ya haya, then we blame the western nation, let us stop this nonsenses and take responsibility, this is real and it not in our mind or blain washed. Africans are suffering and yet we are so rich.
 
Mbona unakimbia kimbia nimekwambia leta facts kuwa Mpingo unapatikana kenya. Hujaleta source yoyote ya maana.
Sasa unakimbia kimbia kwa nini? Mara unasema Muvingo mara ho! Hakuna mpingo Kenya.
 
naomba unielekeze usitumie jazba

lengo sio kugombana wala kuaibishana au kushindana, lengo ni kuwekana sawa

toa hoja upewe hoja, hakuna haja ya kutukanana.l

Sijakutukana wala kukaripia. Wapi nimekuaibisha? Msistizo wangu ni kwamba hatuwezi kuilaumu wala kuiita nchi maskini. Na walio maskini kuna kila sababu ya kutajirika. Kuna fursa nyingi hatuwezi kuzimaliza. Muhimu ni kuondoa lawama, kujibidisha na kutumia maarifa.
 
unapouliza swali kama hili unatakiwa uwe unanifaham, usiulize kufurahisha baraza

sioni mantiki ya wewe kuniuliza hilo swali hali ya kuwa hunijui
Sikujui na wewe hunijui period! Na mimi sina mpango wa kufurahisha baraza ili ni profit nini?
 
A poverty mind set hata ukijaribu kueleza ni kazi bure!
 
ndio maana nikakwambia swali ulilouliza halina mantiki
Kunatatizo kwenye kichwa chako dogo. Usitafute umaarufu kupitia comment za watu. Acha kutafuta kiki.
 
Kunatatizo kwenye kichwa chako dogo. Usitafute umaarufu kupitia comment za watu. Acha kutafuta kiki.
hukuwa na haja ya kutoa haya maneno, ningetaka umaarufu ningeutafuta kwa njia nyingine
 
Acha upumbavu kuharibu thread. Nimeakuambia uwe mstaarabu. Anzisha thread kuhusu malalamiko yako. Mbona huelewi. Unatuharibia thread. Au umetumwa. Umenitumia Private Messages kuniomba msamaha. Nimekaa kimya. Mbona unakuwa mjinga hivyo!!? Anzisha thread yako watu watachangia usitafute sifa za kijinga.

Wewe umeenda kutembelea kijijini sisi tunaishi huko. Mbona unakuwa mwehu!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…