Facts zilizotokea katika Viwanja mbalimbali vya michezo

 

Attachments

  • FF5B6577-E6E7-4DB8-A682-DF3B72C96F4F.jpeg
    76.8 KB · Views: 2
Pitso Mosimane 🇿🇦 is the 3RD COACH to win the CAF Champions League with two teams after winning it with Mamelodi Sundowns (2016) and Al Ahly SC (2020) all beating Zamalek SC in the final.

Oscar Fullone 🇦🇷 - ASEC Mimosas & Raja CA

Mahmoud El Gohary 🇪🇬 - Al Ahly SC & Zamalek SC https://t.co/qwg5ERzjUj
 
Since the year 2000; every time Bayern Munich have won the Champions League, Al Ahly have also won the CAF Champions League

2001: Bayern UCLTrophy Al Ahly CAF CLTrophy
2013: Bayern UCLTrophy Al Ahly CAF CLTrophy
2020: Bayern UCLTrophy Al Ahly CAF CLTrophy

Trilogy complete. #TotalCAFCL
 
Kiungo wa zamani wa vilabu vya Fulham, Birmingham, Portsmouth, Westham na timu ya Taifa ya Senegal, Papa Bouba Diop amefariki akiwa na miaka 42 baada ya kuugua kwa muda mrefu.
.
.
Diop, ambaye alipewa jina la utani " Wardrobe" kutokana na urefu wake wa futi 6 na inchi 5, alijiunga na Fulham mwaka 2004 na kuichezea kwa miaka mitatu akiwa London ya magharibi, kabla hajasaini Portsmouth.
.
.
Diop aliisaidia Portsmouth kushinda FA Cup chini ya kocha Harry Redknap mwaka 2008
.
.
Alikuwa pia kwenye sehemu ya kikosi cha Senegal alipofunga goli pekee kwenye hatua ya makundi dhidi ya France kwenye mashindano ya kombe la Dunia.
.
.
Vilabu vya Fulham, Birmingham, Portsmouth, Birmingham na Westham vimeeleza huzuni ya kuondokewa na kiungo huyo na kuomba apumzike kwa amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…