Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
-
- #661
AmeeeenSiku kama ya leo mwaka 2005, Mtume na Nabii wa mwisho wa Soka Ronaldinho Gaucho alitoa pasi ya bao (assist) kwa kinda mwenye umri wa miaka 17 na kumfanya kinda huyo kufunga bao lake la kwanza akiwa na klabu ya FC Barcelona.
Kutoka hapo mpaka hii leo kinda huyo amejenga heshima, na Hadi sasa ameifungia mabao 626, ameweka rekodi ya kushinda Ballon d'Ors 6 na ameshinda mataji ya UEFA Champions League mara 4.
@gang_chomba[emoji1139]View attachment 1437991P
Na kwa matako piaKatika magoli aliofunga Erling Håland kwenye ligi ya mabingwa msimu huu...
• amefunga kwa mguu wa kushoto
• Amefunga kwa mguu wa kulia
• amefunga kwa kichwa
• Amefunga ndani ya box
• amefunga nje ya box
• amefunga kwa mkwaju wa penati
• amefunga pia kwenye counter-attack
Sasa tunasubiri afunge kwa free-kicks