Facts zilizotokea katika Viwanja mbalimbali vya michezo

Paulo Dybala has fully recovered from COVID-19, Juventus confirm.

He is no longer required to isolate at home.
 
Mwamba Miroslav Klose ametangazwa kuwa kocha msaidizi wa Bayern Munich kwa mkataba wa mwaka mmoja.

Mwamba alitamba sana enzi zake pia alikuwa akiifundisha timu ya vijana wa Bayern Munich chini ya umri wa miaka 17 na sasa anaenda kuungana na mzee Hansi Flick.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…