Mwamba Miroslav Klose ametangazwa kuwa kocha msaidizi wa Bayern Munich kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Mwamba alitamba sana enzi zake pia alikuwa akiifundisha timu ya vijana wa Bayern Munich chini ya umri wa miaka 17 na sasa anaenda kuungana na mzee Hansi Flick.