Facts zilizotokea katika Viwanja mbalimbali vya michezo

0-4 vs. Dortmund
0-3 vs. Augsburg
1-2 vs. Düsseldorf

Schalke are the only Bundesliga side to lose all three games since the competition restarted. 😳
 
Peter Crouch: “I met Ronaldo(Brazilian) once. He was drinking and had an ashtray balanced on his stomach.

Every time he finished a beer, a supermodel brought him another.

I hoped he would say: ‘Oh, you’re Crouch!’ But he didn’t have a clue who I was. We took a photo and off I went."
 
Huyu mwamba alizingua
Watu wamapiga gambe unataka kutambulishana
 
4 years ago today, Kevin Durant played his last game in OKC.

Since then:

➖ 2x NBA champion
➖ 2x NBA Finals MVP
➖ Solidified all-time great statu
 
Thomas Müller has now provided 18 assists in Bundesliga this season for Bayern Munich.

He's now three away from tying Kevin De Bruyne's single-season record of 21.
 
Italy coach Roberto Mancini had his say on the future of Brescia talents Sandro Tonali and Mario Balotelli. ‘What can I say about Mario?’

Tonali is widely expected to leave Brescia this summer, with Inter, Juventus, Milan and several Premier League clubs all interested.

“If he was to join a club that plays in Europe, he would gain more experience and improve in so many aspects,” Mancini told Rai Sport.


“Tonali can play in front of the defence in a three-man midfield, but also in a more central role. He attacks, shoots and can score goals. He’s capable of doing more or less anything.”

Meanwhile, it’s increasingly unlikely we will see Balotelli playing again for Brescia or Italy after another breakdown in his rapport with the club.

“What can I say about Mario?” shrugged Mancini wearily.

“I just hope he returns to training.”

Balotelli has been in and out of training over the last few days, with President Massimo Cellino complaining the forward is “no longer with us mentally” and has already clocked out.
 
Arsenal's 10 most expensive signings ever:

Pépé🇨🇮 £72m
Aubameyang🇬🇦 £56m
Lacazette🇫🇷 £52m
Özil🇩🇪 £42.5m
Sánchez🇨🇱 £35m
Mustafi🇩🇪 £35m
Xhaka🇨🇭 £34m
Saliba🇫🇷 £27m*
Torreira🇺🇾 £26.5m
Tierney🏴󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 £25m.
 
Mauro Icardi’s 2019/20 season with PSG across all competitions:

❍ 31 games
❍ 20 goals
❍ 4 assists

Staying in Paris.
 
DONE DEAL: PSG have confirmed the signing of Mauro Icardi on a permanent deal from Inter Milan.

The striker has signed a four-year contract expiring in June 2024.
 
ON THIS TRANSFER DAY: In 2000, Man Utd signed Fabien Barthez from Monaco for £7.8m.

He would go onto make 139 appearances for the club and win two Premier League titles.
 
Highest African Goalscorers in the UEFA Champions League

1. Didier Drogba (44 goals).

2. Samuel Eto'o (30 goals).

3. Mohamed Salah (22 goals).

4. Sadio Mane (16 goals).

5. Pierre-Emerick Aubameyang (15 goals).
 
HISTORIA YAKUSISIMUA YA MJI WA ROMA NA (Derby Della Capitale)

#LAZIO; hii ni kanda nyingine kati ya zile 20 inayopatikana ndani ya nchi ya Italia ni yapili kwa wingi wawatu baada ya Lombardy, ndani ya Lazio kuna miji mikubwa minne ambayo ni Frosinone,Latina,Rieti na Rome apa zaidi ntaiongelea Rome ambako tunaikuta ile derby yetu bora kabisa kati ya Lazio Vs As Roma!

??#Rome.. Huu ndio mji mku nchi Italia na unaongoza kwa kuingiza mapato mengi ndani ya nchi hio ngoja nikupe story kidogo ya historia ya huu mji ili twende pamoja...
Kama unavyoona hio nembo ya mbwa mwitu wakike akiwanyonyesha watoto wawili hapo hio ndio nembo ya mji wa Rome pia ni nembo ya timu ya As Roma wakienzi watoto mapacha Romulus na nduguye Remus je ni kina nan hawa watu?

⚫Romulus na Remus hawa ni watoto walioziliwa Alba Longa kwenye mji wa Ancient Latin na mama ya akiwa ni Rhea Silvia ambae alikua mtoto wa mfalme Numitor, baada yakuzaliwa mapacha hao kaka wa mwanamama huyo ambae ndio alikua mfalme kwa nyakati hizo Amulius alitoa agizo watoto hao wauliwe...

Kama unavyojua zamani walikua na tabia yakutelekeza watoto msituni au mtoni basi watoto hawa walienda telekezwa katika mto “Tiber" ila waliweza kubaki Salama wenye wanasema walisaidiwa na Miungu ya MTO huo kwajina la “God Tiberinus" km ushawahi tizama season moja inaitwa VIKING utajionea haya mambo, watoto hao walikuja kusaidiwa na kunyonyeshwa na mbwa mwitu “She Wolf"!!

✔Inasemekana hawa ndugu wawili ndio walifanya kazi kubwa ya kuutengeneza mji wa Rome mpk Leo hii moja ya miji tajiri dunia na hiyo ni historia ya kweli iliopo kwenye vitabu vya mbalimbali ukifatilia utapata, turudi kwenye Derby ya mjii huo wa Rome

Fransisco Totti ndie kinara aliecheza michezo mingi kwenye Derby hio akicheza Mara(44) pia ndie kinara wa magoli akifungana na Dino Costa wote wanamagoli(11) na Vincenzo Montella ndie aliwahi kuweka rekodi yakufunga magoli mengi kwenye mchezo mmoja katika derby hio akifunga magoli(4) kwenye ushindi Roma 5:1 dhidi ya Lazio,

As Roma anamakombe ya ligi kuu sirieA(3),Copa Italia (9),Super Copa Italia (3)
Lazio anamakombe ya ligi kuu sirieA (4),Copa Italia (7) super Copa Italia (4) na UEFA cup winner(1) na UEFA super cup(1).

Na hawa majamaa wanatumia uwanja mmoja na uwanja huo ni wamaspaa ya mji wa Rome pia ndio uwanja wa taifa nchini italia wengi tunaujua ni Stadio Olimpico hawa ni km simba na yanga tu!
 
Ilikuwa siku kama ya leo mwaka 1997 pale kitasa bora kabisa sambamba na mbavu ya kulia ya AC Milan yaani Franco Baresi na Mauro Tassotti walitundika daruga kukiputa klabuni hapo.

Vilio vilitawala, pale mwamba na nahodha wa wakati huo Franco Baresi ambae inasemwa pasi na shaka kuwa ndie kitasa bora kupata kutokea Duniani alipoinua Mkono wake wa kuume na kuipungia Familia ya AC Milan huku wengine wakiwa na mabango makubwa yenye jumbe za kumsifu na kumtukuza mwamba huyo.

Miongoni mwa bango lililokuwa limebebwa hata kuwafunika washabiki wa AC waliokuwa nyuma ya goli maarufu kama Curva Sud lilisomeka *lasciate Sansiro, ma resterete nei nostri cuori* likimaanisha kuwa unaondoka Sansiro lakini utabaki mioyoni mwetu.

Asali ikamwagikia kwenye futari pale zamu ya mlinzi wa kulia wa chama hilo kwa wakati huo Mauro Tassotti alipoinua mkono wake na kuupungia umati wa familia hio tukufu.

Nyimbo za kumsifu mwamba huyu ambae alikuwa nahodha katika fainali ya ligi ya mabingwa mwaka 1994 dhidi ya Barcelona akivaa kitambaa baada ya Baresi kutocheza mechi hio zikaanza kuvurumishwa toka kila kona ya uwanja wa Sansiro, uwanja wenye historia kubwa ya mchezo wa soka Duniani.

Tassotti ndie alikuwa nahodha na Milan siku kizazi cha dhahabu cha Barcelona kilipocharazwa jumla ya magoli 4-0 kwenye fainali hio.
Ikumbukwe kuwa hakuna timu iliobamizwa magoli mengi zaidi ya Barcelona katika mchezo wa fainali ya UCL.

Mpaka anaaga Milan Baresi alikuwa kaichezea klabu hio jumla ya michezo 714 akianzia timu ya vijana mwaka 1972 na baadae timu ya kwanza aliocheza kuanzia mwaka 1977 hadi mwaka 1997.

Huku Mauro Tassotti aliichezea klabu hio jumla ya michezo 576 Wataliano hawa wamepewa heshima kubwa, sio ndani ya jiji la fasheni la Milan tu, bali kila kona ya nchi hio.

Forza Milan...
 
FIFA has urged football competition organizers to apply ‘common sense’ & consider not sanctioning players demanding justice for George Floyd during games.

Footballers such as Jadon Sancho revealed messages expressing solidarity with Floyd during German Bundesliga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…