Facts zilizotokea katika Viwanja mbalimbali vya michezo

Kwa mujibu wa Sky Kiungo wa AC Milan Mturuki Hakan Calhanoglu na Mlinzi toka Argentina Matteo Musacchio wameanza mazoezi ya pamoja na timu baada ya kuwa na majeruhi kwa siku za karibuni.
 
Atalanta's XI that beat Valencia 4-1 yesterday:

Gollini 3.8M€
Toloi 3.9M€
Caldara loan
Palomino 4.5M€
Freuler 2M€
de Roon 13.5M€
Gosens 1M€
Hateboer 1M€
Pasalic loan
Ilicic 5.75M€
Gomez 4.47M€

Total: ≈40M

Good scouting & smart investments. Such a well run club. ⚫️🔵
 
Bukayo Saka 2019/20 season so far;

3⃣ Goals
9⃣ Assists

• Most assists for Arsenal this season
• Most assists in the UEFA Europa League this season
• More assists than anyone at Manchester United & Chelsea
• He's just a 18 year old playing as LB when that's not even his natural position.

Generational Talent 💎
 
Koke; "Yes we know in the past they have overturned deficits, Barcelona comes to mind. But we are not Barcelona and we are used to such games, you can intimidate small boys with stories of ghosts and the dark, we are not small boys. We won't be moved by Anfield, we go to qualify and hopefully after 90 minutes it will be that way."
 
12': Right foot
43': Left foot
53': Header

Daichi Kamada scored a perfect hat-trick last night for Eintracht Frankfurt.
 
"Atlético did exactly what they always do. If ever there's a team that represents a manager and what he wants - it's that team."

Are #LFC still favourites to progress in the #UCL?

Gang Chomba says "The Anfield Factor" will play a big part in the second leg
 
Happy 29th birthday Riyad Mahrez:

A two time Premier League winner with Leicester City and Manchester City and captained Algeria to their first African Cup of Nations trophy since 1990.

Happy birthday. 🎁
 

Attachments

  • 3F5ADA4D-3C25-4C33-8561-D175156B658B.jpeg
    80.7 KB · Views: 2
Diogo Jota's last five shots in the Europa League:





 
Siku kama ya leo mwaka 2006, Arsenal walipata ushindi maarufu zaidi wa goli 1-0 nyumbani kwa Reall Madrid katika hatua ya 16 bora.

Goli la Thierry Henry lilitosha kuivusha Arsenal katika hatua inayofuata
 
Tottenham Walipata ushindi wao wa kwanza baada ya miaka 28 katika uwanja wa Chelsea.
Je wanaweza kuendeleza shughuli walioianza April 2018?
 
Ikumbukwe kuwa Chelsea wameshinda mchezo mmoja tu katika Premier League mwaka huu wa 2020
 
wachezaji wanao ongoza kwa kutupia magoli kwa klabu ya Arsenal msimu huu ni:

Aubameyang 17
Martinelli 10
Lacazette 8
Pepe 6
Willock 4
Saka 3
Luiz 2
Nelson 2
Sokratis 2
Torreira 2
Özil 1
Nketiah 1
Bellerín 1
Chambers 1
Holding 1
Ceballos 1
Maitland-Niles 1
Mustafi 1
 
Incase You don’t know, Wayne Rooney is making his 500th appearance in English league football....
 
Southampton XI: McCarthy; Ward-Prowse, Stephens, Bednarek, Bertrand; Smallbone, Højbjerg; Djenepo, Armstrong; Ings, Long.

Aston Villa XI: Reina; Hause, Mings, Konsa; Guilbert, Nakamba, Luiz, Targett; El Ghazi, Grealish, Samatta.
 
Mateo Kovačić completed every single take-on he attempted, completed 95% of his passes, completed the most passes, and made more recoveries than any other play on the pitch vs. Spurs.

What a player. What a display. 👏
 
Newcastle wameshinda michezo miwili ya ugenini katika jiji la London katika Premier League Msimu huu, waliwafunga Spurs na West Ham. Mara ya mwisho kushinda michezo miitatu katika jiji la London ilikuwa Msimu wa mwaka 2013-14.
Hii leo wanapambana na Crystal Palace.
 
Since he joined Chelsea in 2016, Marcos Alonso has more goals (17) and goal involvements (28 - 17 goals, 11 assists) than any other defender in the @premierleague, with three of these goals coming against Spurs.
 
Olivier Giroud amehusika katika magoli 14 waliofunga Chelsea msimu huu.
Amefunga magoli 10 na kutengeneza magoli 4 katika mechi alizoanza.
 
Chelsea have lost seven home games in all competitions this season – they last lost more at Stamford Bridge in a single campaign back in 1985-86 (8).
 
Ilishabadilishwa siku nyingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…