Faculty gani yakusomea chuo kikuu (first degree)

Sorry hebu tuandikie vizur kuna kitu cha maana ila uandishi sio mzuri

Am sorry since am very addicted in using vifupi....but what i ment is... kwa a person aliye pata flat C kwenye kombi yake na alikuwa anachukua CBG,je anauwezo wa kusoma pharmacy or MD basing on the fact kuwa ana msingi wa phy na math olevel?
 
habari zenu?
jamani naombeni ushauri
nimejaaliwa kufaulu kidato cha sita nakupata matokeo haya
Gs-'C'
Geography-C
English-B
Kiswahili-B
hv faculty gani nzuri ya kusomea na chuo kipi kzuri kwa Tanzania?
Angalia maana ya neno Faculty katika context ya Chuo:

A faculty is a division within a university comprising one subject area, or a number of related subject areas

OR

A group of university departments concerned with a major division of knowledge.

Wewe na wenzako mna-bore sana mnapo tumia neno hilo kumaanisha "fani" au "discipline" au "degree programme"

Fahamu kuwa chuo kinaweza kuwa na faculty 2 au 3 tu lakini kikawa kinatoa degrees za aina mbali mbali zaidi ya kumi ambazo ndizo unaweza kuzisoma.

Vinginevyo hakuna mtu anayesomea "faculty" ya aina yoyote kwenye chuo.
 
Dah kuna watu mafundi wa kuondoa vowels kwenye maandishi yao, hadi kwenye barua za kazi wanaandika hivyo
 

Wew ulijua toka Upo o level au ulipofka chuo ao ni Mambo tu yakumishan co zarau tena bt Thnx kaka kwa kutufungua macho
 
Wew ulijua toka Upo o level au ulipofka chuo ao ni Mambo tu yakumishan co zarau tena bt Thnx kaka kwa kutufungua macho

Ngoja nikujibu tu, hakuna shida.
Nilifahamu toka nikiwa form one mwaka 1977.
 

hongera sana kwa kupata C flat kwa CBG MD I'm not sure lakini pharmacy una vigezo vyote pia kuna b.sc nursing kwa combination yako kwa sababu our focus kwa sasa ni soko la ajira hakika ukimaliza degree kati ya hizo ajira zipo
 
alijua hawezi kufahuru,.. ila
BRN ndo imemsaidia, so kufahuru imekua ka supriz kwake... ivo hana mwelekeo

yani ww ndio boya kweli unamrekebisha mwenzio wakati u-kichwa maji


sio kufauru ni kufaulu

tatizo mnajifanya mna akili ... kwani unachosomea ndio ndoto zako tangu upo sekondari acha unafiki dogo hajui anataka umuongoze wew unamkatisha tamaa
 
habari zenu?
jamani naombeni ushauri
nimejaaliwa kufaulu kidato cha sita nakupata matokeo haya
Gs-'C'
Geography-C
English-B
Kiswahili-B
hv faculty gani nzuri ya kusomea na chuo kipi kzuri kwa Tanzania?

unaweza kusomea shahada yeyote katika kitivo cha social science,law na education,(kwa kitivo cha business administration pia unaweza but lazma uwe umefaulu vyema basic math olevel au uwe na msingi wa masomo ya biashara ie bookkeepping na commerce)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…