Best Daddy JF-Expert Member Joined Apr 2, 2019 Posts 950 Reaction score 1,672 Oct 22, 2024 Thread starter #21 Benderea said: kwanu kuzungumza sana ndo nini ?? Mpira uwanjani mengine hadithi tuuu! Click to expand... Umuhimu wa kocha bora mwenye nadharia kubwa ya mpira, ikichaguzwa na uwasilishaji bora utauona katika project mpya, hasa inahusisha vijana/watoto ambao mara nyingi huhitaji mwalimu kumuongoza A-Z.
Benderea said: kwanu kuzungumza sana ndo nini ?? Mpira uwanjani mengine hadithi tuuu! Click to expand... Umuhimu wa kocha bora mwenye nadharia kubwa ya mpira, ikichaguzwa na uwasilishaji bora utauona katika project mpya, hasa inahusisha vijana/watoto ambao mara nyingi huhitaji mwalimu kumuongoza A-Z.
mriringa JF-Expert Member Joined Jan 17, 2017 Posts 663 Reaction score 714 Oct 22, 2024 #22 Ninachokiona au kuwaza muda huu Mgunda anapasha kuingia uwanjani dakika ya 7/8 haifiki dakika ya 10.
DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 12,846 Reaction score 28,106 Oct 22, 2024 #23 Medecin said: Akila xmas bongo me nipigwe ban ya mwezi mzima humu Click to expand... Active naendelea kusisitiza huyu jamaa atendewe haki ikifika x mass
Medecin said: Akila xmas bongo me nipigwe ban ya mwezi mzima humu Click to expand... Active naendelea kusisitiza huyu jamaa atendewe haki ikifika x mass