Fadru, baada ya Ibenge, ndiye anayejipambanua kwa sasa ndiye mbabe wa mbinu

Fadru, baada ya Ibenge, ndiye anayejipambanua kwa sasa ndiye mbabe wa mbinu

kinje ketile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
5,089
Reaction score
9,664
Ibenge Yupo amejenga jina tayari, mbabe Wa mbinu. Anaogopwa!

Kikubwa kinachombeba ni mbinu Ya Michuano husika. Kujua Michuano inahitaji nini kwa wakati husika? Na kuweza kutengeneza mipango ya kumaliza issue.

Fadru Davis. Kocha mwingine asiyeimbwa Ligi ya NBC na CAF, Wachambuzi wote huwa WanaLalama akikabidhiwa tuzo,wengine wanaenda mbali eti Kapendelewa.

Wachambuzi wanasahau kuangalia ni nini Mahitaji ya Mechi. Nini kinahitajika? Nini kafanya?

Kundi La Simba kwenye michuano ya CAF bado lipo Wazi.... mwenye mbinu bora timu yake itapita.
Muda utaongea..
 
Kama issue ni ROBO, hapa kashaingia bado kumalizia mkia.

Issue yake ni kwenda Nusu, I stand to be corrected. Nafikiri Hata Mo atafeel uwekezaji wake umeenda Vizuri iwapo mjadala ukianzia Nusu onwards. Hivyo Fadru akumbushwe DENI NUSU FAINALI na kuendelea..
Fadru akumbushwe.
 
Ibenge Yupo amejenga jina teyari, mbabe Wa mbinu.
..anaogopwa.!

Kikubwa kinachombeba ni mbinu Ya Michuano husika. Kujua Michuano inahitaji nini kwa wakati husika? Na kuweza kutengeneza mipango ya kumaliza issue.

Fadru Davis.Kocha mwingine asiyeimbwa Ligi ya NBC na CAF, Wachambuzi wote huwa WanaLalama akikabidhiwa tuzo,wengine wanaenda mbali eti Kapendelewa..!

Wachambuzi wanasahau kuangalia ni nini Mahitaji ya Mechi..! Nini kinahitajika? Nini kafanya.

Kundi La Simba kwenye michuano ya CAF bado lipo Wazi.... mwenye mbinu bora timu yake itapita.
Muda utaongea..
Yani we jamaa unamlinganisha ibenge na fadlu? Kwa kipi hasa alichokifanya fadlu? Unasema ni kocha wa mbinu ni mbinu Gani hizo alizonazo fadlu? Kushinda dhidi ya timu mbovu ya sfaxien nazo ni mbinu? Ebu acha kudhalilika basi!
 
Ibenge Yupo amejenga jina teyari, mbabe Wa mbinu.
..anaogopwa.!

Kikubwa kinachombeba ni mbinu Ya Michuano husika. Kujua Michuano inahitaji nini kwa wakati husika? Na kuweza kutengeneza mipango ya kumaliza issue.

Fadru Davis.Kocha mwingine asiyeimbwa Ligi ya NBC na CAF, Wachambuzi wote huwa WanaLalama akikabidhiwa tuzo,wengine wanaenda mbali eti Kapendelewa..!

Wachambuzi wanasahau kuangalia ni nini Mahitaji ya Mechi..! Nini kinahitajika? Nini kafanya.

Kundi La Simba kwenye michuano ya CAF bado lipo Wazi.... mwenye mbinu bora timu yake itapita.
Muda utaongea..
Yuko very over rated
 
Yani we jamaa unamlinganisha ibenge na fadlu? Kwa kipi hasa alichokifanya fadlu? Unasema ni kocha wa mbinu ni mbinu Gani hizo alizonazo fadlu? Kushinda dhidi ya timu mbovu ya sfaxien nazo ni mbinu? Ebu acha kudhalilika basi!

Cs Sfaxien anayo Makombe Manne Ya CAF , matatu Shirikisho, moja CAF Cup...!

Cs Sfaxien sio timu mbovu kama Utopolo mnavyotaka kuaminisha Watu..

Wale sio kama club Africain
 
Cs Sfaxien anayo Makombe Manne Ya CAF , matatu Shirikisho, moja CAF Cup...!

Cs Sfaxien sio timu mbovu kama Utopolo mnavyotaka kuaminisha Watu..

Wale sio kama club Africain
Ayo makombe manne ndio yanacheza uwanjani kwa sasa? Timu waliyokuwa nayo kipindi kile na ubora wao ndio hii hii? Ama mnadhani Kila Mmoja ni mbumbumbu ajui chochote!
 
Kwanini watu ata kwenye kuandika jmni fadru ? Ni fadlu bhna nilijua kwenye utamkwaji tu mpaka kwenye maandishi

L & R
 
Yani we jamaa unamlinganisha ibenge na fadlu? Kwa kipi hasa alichokifanya fadlu? Unasema ni kocha wa mbinu ni mbinu Gani hizo alizonazo fadlu? Kushinda dhidi ya timu mbovu ya sfaxien nazo ni mbinu? Ebu acha kudhalilika basi!
Unateseka ukiwa kwa Mtogole?
 
W
Cs Sfaxien anayo Makombe Manne Ya CAF , matatu Shirikisho, moja CAF Cup...!

Cs Sfaxien sio timu mbovu kama Utopolo mnavyotaka kuaminisha Watu..

Wale sio kama club Africain
Wewe huna ulijualo sasa kama unasema CS Sfaxien ni bora sababu ya makombe vipi kuhusu TP Mazembe ambae makombe yake tumeyaona live sio ya kusimuliwa? na kama ubora wa timu ni makombe mbona hua mnajiita wakubwa na hamna kombe lolote?
 
Ibenge Yupo amejenga jina tayari, mbabe Wa mbinu. Anaogopwa!

Kikubwa kinachombeba ni mbinu Ya Michuano husika. Kujua Michuano inahitaji nini kwa wakati husika? Na kuweza kutengeneza mipango ya kumaliza issue.

Fadru Davis. Kocha mwingine asiyeimbwa Ligi ya NBC na CAF, Wachambuzi wote huwa WanaLalama akikabidhiwa tuzo,wengine wanaenda mbali eti Kapendelewa.

Wachambuzi wanasahau kuangalia ni nini Mahitaji ya Mechi. Nini kinahitajika? Nini kafanya?

Kundi La Simba kwenye michuano ya CAF bado lipo Wazi.... mwenye mbinu bora timu yake itapita.
Muda utaongea..
Kuzifungq timu zilijozifia huko shirikisho mshaqnza kuvimba!
 
Simba watatoka ,hawataweza kumfunga cs constantantine nyumbani mechi itaisha suluhu,bravos atashinda mechi yake ya home na atakuwa na alama tisa huku mechi ya mwisho atacheza na kibonde wa kundi
 
Bravos watafuzu kwa alama 12
Simba itafikisha alama kumi
Cs Constantine atafuzu nafasi ya pili
 
Simba watatoka ,hawataweza kumfunga cs constantantine nyumbani mechi itaisha suluhu,bravos atashinda mechi yake ya home na atakuwa na alama tisa huku mechi ya mwisho atacheza na kibonde wa kundi
Naona Uto una scientific calculator unapiga Hesabu za Simba kuingia robo fainali,Timu lako sijui lina point ngapi?
 
Ayo makombe manne ndio yanacheza uwanjani kwa sasa? Timu waliyokuwa nayo kipindi kile na ubora wao ndio hii hii? Ama mnadhani Kila Mmoja ni mbumbumbu ajui chochote!
Sawa Kabisa Kwa Ulichokiandika Hata Tp Mazembe Hawa Sio wale Waliotinga Nusu 67, Mwaka Uliopita Tumchomoe Tp Tumweke Cs Sfaxien Kwenye Kundi lenu Huna Uwezo wa Kuchukua Alama Nne Kwake Kama Ulivyofanya kwa Tp Timu Za Kiarabu Hata kama Ni Mbovu Haziwi kama Ilivyo Tp Kwa Sasa Wale Tp wanafungwa Vizuri Na Kengold Ya Pale Chunya.
 
Sawa Kabisa Kwa Ulichokiandika Hata Tp Mazembe Hawa Sio wale Waliotinga Nusu 67, Mwaka Uliopita Tumchomoe Tp Tumweke Cs Sfaxien Kwenye Kundi lenu Huna Uwezo wa Kuchukua Alama Nne Kwake Kama Ulivyofanya kwa Tp Timu Za Kiarabu Hata kama Ni Mbovu Haziwi kama Ilivyo Tp Kwa Sasa Wale Tp wanafungwa Vizuri Na Kengold Ya Pale Chunya.
Eti nini? Kwamba yanga hana uwezo wa kuchukua point kwa sfaxien? Uko sawa kweli wewe kichwani? Ama unaota pengine!
 
Back
Top Bottom