Fahamu: Alaska iliuzwa kwa Thamani ya $7.2M

Fahamu: Alaska iliuzwa kwa Thamani ya $7.2M

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Alaska ilikua ni sehemu ya Russia lakini iliuzwa kwenda kwa Marekani mwaka 1867 kwa $7.2M sawa na Tzs. Bilioni 16.6 ambayo kwa sasa ingekua sawa na $133M (Tzs. Bilioni 307.7).

Sababu ya kuuzwa ni kutokana na ugomvi uliokuwepo kati ya Russia na Uingereza ambao walikua wanatawala Canada hivyo kuhofia kuchukuliwa eneo lake hilo na hivyo kuamua kumuuzia Marekani ambae nae alikua na ugomvi na Uingereza.
 
Alaska ilikua ni sehemu ya Russia lakini iliuzwa kwenda kwa Marekani mwaka 1867 kwa $7.2M sawa na Tzs. Bilioni 16.6 ambayo kwa sasa ingekua sawa na $133M (Tzs. Bilioni 307.7). Sababu ya kuuzwa ni kutokana na ugomvi uliokuwepo kati ya Russia na Uingereza ambao walikua wanatawala Canada hivyo kuhofia kuchukuliwa eneo lake hilo na hivyo kuamua kumuuzia Marekani ambae nae alikua na ugomvi na Uingereza.
Kwa ninavyojua Mimi Alaska iliuzwa ili mfalme wa rassia amfanyie prince harusi
 
Alaska ilikua ni sehemu ya Russia lakini iliuzwa kwenda kwa Marekani mwaka 1867 kwa $7.2M sawa na Tzs. Bilioni 16.6 ambayo kwa sasa ingekua sawa na $133M (Tzs. Bilioni 307.7). Sababu ya kuuzwa ni kutokana na ugomvi uliokuwepo kati ya Russia na Uingereza ambao walikua wanatawala Canada hivyo kuhofia kuchukuliwa eneo lake hilo na hivyo kuamua kumuuzia Marekani ambae nae alikua na ugomvi na Uingereza.
Acknowledge source please. Acha kujikausha Kama vile hii ishu ww ndo source. Al Jazeera walionyesha hii documentary Jana tarehe 7. 3. 2022
 
Kwa ninavyojua Mimi Alaska iliuzwa ili mfalme wa rassia amfanyie prince harusi
Na Loliondo iliuzwa ili nani afanyiwe harusi?

598A4D29-ED7B-41AF-851F-578B72AC518C.jpeg


Yaani US ni ndogo kuliko hata Alaska
 
Hao ndio walikuwa wanajua biashara wananunua nchi pamoja na watu wote walioko ndani ya nchi kama vile Lowasa alivyonunua Chadema 2015 na wanachama wote walioko ndani ya Chadema

Sio ohh nimenunua shamba wakati shamba lenyewe limejaa misitu tu kununua na wanakijiji
 
Hao ndio walikuwa wanajua biashara wananunua nchi pamoja na watu wote walioko ndani ya nchi kama vile Lowasa alivyonunua Chadema 2015 na wanachama wote walioko ndani ya Chadema

Sio ohh nimenunua shamba wakati shamba lenyewe limejaa misitu tu
Hapo naamini hata Ndugai alikuwa sahihi kusema ipo Siku nchi itauzwa kama ilivyo kwa Alaska.
 
Back
Top Bottom