Fahamu dodoso mbili tatu kuhusu Allianz Arena ya Bunju

Fahamu dodoso mbili tatu kuhusu Allianz Arena ya Bunju

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
Hebu tuanze kuutizama uwanja unaomilikiwa na timu bora kabisa duniani.. Bayern Munich.. uwanja huu unaitwa Allianz Arena .

ATTACH]


ATTACH]


Katika Arena hii kuna;
1. Uwanja wa kuchezea mechi
2. Uwanja wa mazoezi
3. Maduka yanayoelezea historia ya timu, na maduka yanayouza bidhaa za timu
4. Ofisi n.k

Ifuatayo ni ramani ya Uwanja wa timu bora kabisa, kuwahi kushuhudiwa katika ukanda wa CECAFA.

ATTACH]


Uwanja huu unamilikiwa na Simba Sports Club, upo katika eneo la Bunju.. ambao "unaweza" ukaitwa Simba Sports Club Stadium [ Allianz Arena ya Bunju ]

Kwanini ni Allianz Arena ya Bunju?
Kwa sababu..
1. Muundo wake hauna tofauti na Allianz Arena ya Bayern Munich .
i.e uwanja wa kuchezea, uwanja wa mazoezi, maduka, ofisi.. n.k
2. Falsafa ya mpira unaochezwa katika dimba la Allianz Arena .. haina tofauti na ile tunaoitumia..
i.e Soka la kasi mda wote, Pasi nyingi zenye macho, Mashambulizi ya uhakika, Defense inayoongozwa na mabeki makatili tupu n.k

Kasi ya ujenzi ya hili dimba bora kabisa katika ukanda huu.. ni kubwa sana. Wakandarasi wapo site masaa 24 wakihakikisha ujenzi unakamilika katika mda muafaka.
Kuhusu maendeleo ya ujenzi unaweza pitia Uzi huu Hayawi hayawi, Uwanja wa Bunju wa Simba FC, ujenzi wapamba moto

Allianz Arena ya Bunju ikikamilika.. itakua na;
1. Uwanja wa kuchezea mechi
2. Uwanja wa Mazoezi
3. Hostel za wachezaji
4. Maduka yatakayokua yakiuza bidhaa za timu
5. Ofisi n.k

Mungu bariki ujenzi wa dimba la Allianz Arena ya Bunju,
Mungu ibariki Simba Sports Club.
 

Attachments

  • 1471732103458.jpg
    1471732103458.jpg
    9.6 KB · Views: 118
  • 1471732149496.jpg
    1471732149496.jpg
    59.2 KB · Views: 143
  • 1471733066961.jpg
    1471733066961.jpg
    18.5 KB · Views: 180
Allianz Arena ya Ujerumani.

1471734839341.jpg


1471734856214.jpg


Allianz Arena ya Bunju.

1471734893414.jpg
 
Hebu tuanze kuutizama uwanja unaomilikiwa na timu bora kabisa duniani.. Bayern Munich.. uwanja huu unaitwa Allianz Arena .

ATTACH]


ATTACH]


Katika Arena hii kuna;
1. Uwanja wa kuchezea mechi
2. Uwanja wa mazoezi
3. Maduka yanayoelezea historia ya timu, na maduka yanayouza bidhaa za timu
4. Ofisi n.k

Ifuatayo ni ramani ya Uwanja wa timu bora kabisa, kuwahi kushuhudiwa katika ukanda wa CECAFA.

ATTACH]


Uwanja huu unamilikiwa na Simba Sports Club, upo katika eneo la Bunju.. ambao "unaweza" ukaitwa Simba Sports Club Stadium [ Allianz Arena ya Bunju ]

Kwanini ni Allianz Arena ya Bunju?
Kwa sababu..
1. Muundo wake hauna tofauti na Allianz Arena ya Bayern Munich .
i.e uwanja wa kuchezea, uwanja wa mazoezi, maduka, ofisi.. n.k
2. Falsafa ya mpira unaochezwa katika dimba la Allianz Arena .. haina tofauti na ile tunaoitumia..
i.e Soka la kasi mda wote, Pasi nyingi zenye macho, Mashambulizi ya uhakika, Defense inayoongozwa na mabeki makatili tupu n.k

Kasi ya ujenzi ya hili dimba bora kabisa katika ukanda huu.. ni kubwa sana. Wakandarasi wapo site masaa 24 wakihakikisha ujenzi unakamilika katika mda muafaka.
Kuhusu maendeleo ya ujenzi unaweza pitia Uzi huu Hayawi hayawi, Uwanja wa Bunju wa Simba FC, ujenzi wapamba moto

Allianz Arena ya Bunju ikikamilika.. itakua na;
1. Uwanja wa kuchezea mechi
2. Uwanja wa Mazoezi
3. Hostel za wachezaji
4. Maduka yatakayokua yakiuza bidhaa za timu
5. Ofisi n.k

Mungu bariki ujenzi wa dimba la Allianz Arena ya Bunju,
Mungu ibariki Simba Sports Club.
watu kiasi gani watachukuliwa na uwanja huu?
 
Hebu tuanze kuutizama uwanja unaomilikiwa na timu bora kabisa duniani.. Bayern Munich.. uwanja huu unaitwa Allianz Arena .

ATTACH]


ATTACH]


Katika Arena hii kuna;
1. Uwanja wa kuchezea mechi
2. Uwanja wa mazoezi
3. Maduka yanayoelezea historia ya timu, na maduka yanayouza bidhaa za timu
4. Ofisi n.k

Ifuatayo ni ramani ya Uwanja wa timu bora kabisa, kuwahi kushuhudiwa katika ukanda wa CECAFA.

ATTACH]


Uwanja huu unamilikiwa na Simba Sports Club, upo katika eneo la Bunju.. ambao "unaweza" ukaitwa Simba Sports Club Stadium [ Allianz Arena ya Bunju ]

Kwanini ni Allianz Arena ya Bunju?
Kwa sababu..
1. Muundo wake hauna tofauti na Allianz Arena ya Bayern Munich .
i.e uwanja wa kuchezea, uwanja wa mazoezi, maduka, ofisi.. n.k
2. Falsafa ya mpira unaochezwa katika dimba la Allianz Arena .. haina tofauti na ile tunaoitumia..
i.e Soka la kasi mda wote, Pasi nyingi zenye macho, Mashambulizi ya uhakika, Defense inayoongozwa na mabeki makatili tupu n.k

Kasi ya ujenzi ya hili dimba bora kabisa katika ukanda huu.. ni kubwa sana. Wakandarasi wapo site masaa 24 wakihakikisha ujenzi unakamilika katika mda muafaka.
Kuhusu maendeleo ya ujenzi unaweza pitia Uzi huu Hayawi hayawi, Uwanja wa Bunju wa Simba FC, ujenzi wapamba moto

Allianz Arena ya Bunju ikikamilika.. itakua na;
1. Uwanja wa kuchezea mechi
2. Uwanja wa Mazoezi
3. Hostel za wachezaji
4. Maduka yatakayokua yakiuza bidhaa za timu
5. Ofisi n.k

Mungu bariki ujenzi wa dimba la Allianz Arena ya Bunju,
Mungu ibariki Simba Sports Club.
You are most optimistic person in the world!
 
Lengo zuri na mwanzo pia mzuri.. Pongezi kwa wote watakaofanya simba ifike hapo.

Hivi thaman yake mpaka kukamilika imekadiriwa itakuwa sh ngap na wameingia mkataba na kampuni gani, au wameamua kujenga nusu nusu kwa hali ya pochi!!?
 
Back
Top Bottom