Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Friendly bacteria wanaishi mwilini lakini hawana madhara na wana faida nyingi. Friendly bacteria wana
1. Imarisha kinga ya mwili na huzuia cell division ambayo ndiyo chanzo cha kuenea kwa cancer
2. Wanasaidia katika msago wa chakula hasa chakula aina ya fibre ndiyo chakula chao.
3. Husaidia mvunjiko wa excess fat kuwa fatty acid.
Friendly bacteria wanaishi vizuri ukiwa mlaji na matunda na mboga mboga. Maziwa ya kula tango lilikokatwa, kabichi na nyanya pia kutafuna anagalo karoti moja mbichi kwa siku utaona mabadiliko hata kwenye afya ya akili.
1. Imarisha kinga ya mwili na huzuia cell division ambayo ndiyo chanzo cha kuenea kwa cancer
2. Wanasaidia katika msago wa chakula hasa chakula aina ya fibre ndiyo chakula chao.
3. Husaidia mvunjiko wa excess fat kuwa fatty acid.
Friendly bacteria wanaishi vizuri ukiwa mlaji na matunda na mboga mboga. Maziwa ya kula tango lilikokatwa, kabichi na nyanya pia kutafuna anagalo karoti moja mbichi kwa siku utaona mabadiliko hata kwenye afya ya akili.