Fahamu historia ya Diamond Platnumz juu ya maisha na muziki wake


Wanatafuta huruma za kura ktma, hujawashtukia tu?? Hahhaahah wana treaky hawa achaaaa
 

Hahahhahah lo lo, sema hivii domo ashukuru mademu tu ndo waliompa airtime na.watu kumfuatilia, na ni mademu hao hao wanamshusha hahahahah, anyaway ni treaky nzuri mnatumia kutafuta kuraaaaa
 

Hahahhahahaha maweeeeeeeeee! Hahahahhaahh
 
Hahahhahah lo lo, sema hivii domo ashukuru mademu tu ndo waliompa airtime na.watu kumfuatilia, na ni mademu hao hao wanamshusha hahahahah, anyaway ni treaky nzuri mnatumia kutafuta kuraaaaa

Wewe umesema kweli na next demu wa dai kama hatakuwa Genevieve nnaji bac atatafuta marekani kabisa maana kajua skendo ndio zinaongeza mzki wake
 
Huwa unaongea facts rafk angu, chige nasubiri wa kujibu post yako ya mwisho uliyoambatanisha nomination ya #nenda kamwambia.
 
Last edited by a moderator:

Hahahahaaa uwiiiii! Nilikua sijacheka tokea mchana asante kwa kunivunja mbavu!
Nimecheka haifai kusema.....
 
Hivi diamond na wema waliachana lini kwa mara ya kwanza?
 

Ningejua kama wewe ndio mtoa post wala nisingehangaika kukujibu!!.umekomaa kutetea uzi wako ..then una kivhwa kigumu sana kupiga hesabu ndogo tu za kutoa na kujumlisha miaka!!!
 
Huwa unaongea facts rafk angu, chige nasubiri wa kujibu post yako ya mwisho uliyoambatanisha nomination ya #nenda kamwambia.
Thubutu yao, hakuna mwenye ubavu wa kujibu kwa hoja hapa zaidi ya longolongo.... Nimehoji mtu ambae hadi 2010 inaingia bado ana-struggle kutoka hata sh.100 hana inakuaje miezi mitatuu baadae anaweza kuwa nominated KTMA na kushinda, jibu lake hili hapa:
Ningejua kama wewe ndio mtoa post wala nisingehangaika kukujibu!!.umekomaa kutetea uzi wako ..then una kivhwa kigumu sana kupiga hesabu ndogo tu za kutoa na kujumlisha miaka!!!
Bwah bwah bwah!!!! JIBU HOJA WEWE... Eti ungejua kwamba ni mimi eti usingehangaika kujibu... sema huna ubavu wa kumjibu mtu anayeongea with facts and statistics kwavile umeshazoea longo longo! I ain't kind of the guy...! Yaani unaweka post watu wanakujibu ghafla unageuka na kusema nakomaa kutetea hoja yangu huku ukiwa umesahau umetuwekea hadi link za Youtube hapa kutetea kiroja chako... If you didn't mean to defend what you said, then what for?!!! By the way, hapo kwenye blue hapo... wewe si ndo mtalaamu wa mahesabu?! Unaonake basi ukipiga hizo hesabu ndogo za kutoa na kujumlisha miaka kisha utoe jibu badala ya kujificha kwenye mwamvuli wa "laiti ningekujua nisingekujibu"!!
 
BBC dira ya dunia mzee yuko ndani leo
Haahahaa... scandal za mademu hizo zinazompeleka kote huko....OMG! Eti bado kuna watu wanaendelea kuamini stori za kufikirika hadi karne ya 21 hadi wanamfanya dada yetu Shilole ajitoe ufahamu kwavile anawasikiliza wehu kwamba scandal zinalipa!!! Yaani mtu hadi usiku wa maneno anakuwa studio, spending lots of money kutengeneza kazi zake, highly interacting with fans in social medias lakini bado kuna watu wanaamini ni scandal ndizo zinampaisha!
 
Hahaahaha tatizo hawaelewi, tatizo wabishi jamaa ana fight wana leta chuki hahaha

kweli chuki hazifai kabisa... ila cha msingi dogo mpambanaji, sahivi walikuwa kwenye press conference show sio mda inaanza... Inshaalah awafunike vilivyo
 
MTV mama Diamondplatnumz (best male, live, collaboration) & vanessa (best female)

⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇


MAMA 2015
MAMA 2015
MAMA 2015
MAMA 2015


⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆
link hiyoooooooooooo... #wasaaaaaaafi

___________________________________
Hakikisha unapiga kwa kutumia browser, na lazima kusign in kwa Facebook, twitter, or email... Kila kipengele 20 votes kila siku, kwa waliojiunga na email, au twitter wanapiga bila kikomo...

vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote
 
Kwa staili hii utashangaa leo Mamaake kuwa karibu sana na mwanae..! Hongera Mama Chibu umefanya kilicho bora kwa mwanao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…