Fahamu immobilizer system kwenye gari

Labda nifahamu, funguo zilizopo nitaendelea kutumia?

Funguo utatumia hizo hizo,ila tu kutakua na sensor ambayo inatakiwa ikae kwenye holder moja na funguo ili uweze kuwasha gar,bila hicho ki sensor kuwepo gar haiwaki
 
Funguo utatumia hizo hizo,ila tu kutakua na sensor ambayo inatakiwa ikae kwenye holder moja na funguo ili uweze kuwasha gar,bila hicho ki sensor kuwepo gar haiwaki
ok, na je kwenye gari yenyewe inafanywa nini? control box itabakia ile ile?
 
Kwenye gar hamna kitu kinachobadilika,zaidi ni hicho ki control cha immobilizer ndo kitaongezeka
ok, naomba unielezee kwa ufasaha, ninayo land cruiser 2016 model na hiyo IST, land cruiser inatumia hiyo system ya immobilizer, lakini IST nimefunga car alarm system nzuri sana na pia inayo alarm system ilikuja nayo toka Japan. Kwa mtizamo wako, ipo haja ya kufunga hiyo system ya imobilizer?
 

Hapana,maana ufanyaji kazi wa alarm system hautofautiani sana na hizi immobilizer za kufunga
 
Wekeni contact zenu,mf. simu, instagram accnt, FB....etca watu waweze kuwatafuta maana si kila mtu anapitia hizi uzi za JF.
 
Mueleweshe kuwa ukipoteza ufunguo kuna code wamekuandikia unaituma japan wanakuletea funguo nyingine. Kusema za ukweli hii ni ulinzi tosha wa gari na wengine imetusaidia sana
Sasa mbona bado magari yanaaibiwa kama kawa... Umeandika uongo?
 
Laki tatu point five?
Alinunua kifaa chochote ama hiyo yote ilikua hela ya ufundi
 
Kwa gari zenye ufunguo wa sensor hawezi,maana ina process ndefu ya kufanya programming. Inachukua masaa mawil hadi sita kwa baadhi ya gari
We jamaa sikuelewi ujue.
Mbona daily nasikia taarifa za magari tena hadi ya kisasa watu wanaibiwa?
Halafu unasema eti hawawezi kuiba.
 
Ulifanikiwa kupata mtu akakupiga pindi?
Uli hustle sana?
 
mashine gani ya nini na ufundishe nn?? mm na mashine ya digpro 3 ya kushushia KM inanizingua sana
Kumbe we jamaa unafanya kazi za kissenge na magendo namna hii za kushusha kilometers za ODOMETER.

Kwanini unafanya hivi... Kwa faida ya nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…