Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaUngeelezea na matumizi ya umeme pia ingesaidia maana nasikia kuna Tv zinakula umeme kuliko pasi
Mnashauri tununue zipi sasa. MaelekezoUsije ukanunua UHD, 4K nk halafu channel yako ikawa TBC
Tv box ni nini?Umesahau hii: Kuliko kutumia gharama kwa kununua Smart Tv angalau unaweza kununua Tv ya kawaida (isio smart) then ukanunua na Tv box
Chief-Mkwawa ni kweli?Hisense wazuri sana, wana picha safi mnooo, unapata tv nzuri kwa bei poa kabisa. Hawa Samsung, LG siku hizi brand inawabeba lakini kwa ubora wa picha hawana tofauti au wanazidiwa na Hisense
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mnajua kuziponda hizi brandHakika nami nimejifunza vya kutosha sio kila tv ni ya kununua kama boss, arborder,lising mr uk
Sent from my Mi 9 SE using JamiiForums mobile app
Chief-Mkwawa tv box ni nini?Hivi kwa bongo TV box unanunua ama unakuwa supplied na provider ? Na ili uendane na kina 4 k unahitaji box lipi?
Kidude kidogo mfano wa deki ambacho kina ongeza features kwenye tv yako, zipo za Android, Ios, roku etc kutegemea na matumizi yako.Chief-Mkwawa tv box ni nini?
Hela yako tu vipo as cheap as 50,000 hadi mamilioni ya hela.ni shingapi?
Hela yako tu vipo as cheap as 50,000 hadi mamilioni ya hela.
Wabongo niambieni hivi mtu akitazama mpira kwenye Smart TV ya 8K na yule anayetazama kwenye Arboder mwisho wa mchezo magori yanatofautiana au mmoja hawezi kumjua iyefunga goli? Mi naona picha ni macho yako tu nunua TV kutokana na pochi yako.Hakuna Tv zenye muonekano mzuri wa picha kama SONY.hata huyo LG anayesifiwa na wengi amejaza contrast tu,ila SONY imebalance kila kitu.
Inategemea na source, unatakiwa umatch tv na source ya kitu chako.Wabongo niambieni hivi mtu akitazama mpira kwenye Smart TV ya 8K na yule anayetazama kwenye Arboder mwisho wa mchezo magori yanatofautiana au mmoja hawezi kumjua iyefunga goli? Mi naona picha ni macho yako tu nunua TV kutokana na pochi yako.
Kuna tofauti kubwa sana ya kimuonekano wa picha baina ya tv na tv...kuna tv ukiangalia tukio ili ujue ni kitu gani unaangalia inabidi uwe na utambuzi binafsi..lakini tv ikiwa nzuri unaona kila kitu hadharani sio kwa kukisiaWabongo niambieni hivi mtu akitazama mpira kwenye Smart TV ya 8K na yule anayetazama kwenye Arboder mwisho wa mchezo magori yanatofautiana au mmoja hawezi kumjua iyefunga goli? Mi naona picha ni macho yako tu nunua TV kutokana na pochi yako.
Ili uone picha kwenye full capacity kama ilivyokua advertised , ni lazima source (king'amuzi, streaming service, console etc) ilingane na output/monitor (tv, monitor etc)Wabongo niambieni hivi mtu akitazama mpira kwenye Smart TV ya 8K na yule anayetazama kwenye Arboder mwisho wa mchezo magori yanatofautiana au mmoja hawezi kumjua iyefunga goli? Mi naona picha ni macho yako tu nunua TV kutokana na pochi yako.