Dah hi imegoma
Nikiadd mods sioni kwenye play module dah[emoji2955][emoji52][emoji52]
kelphin kepph
Hizi trip za Russia aysè ni ndefu. mpaka sasa sijafanikiwa kufika mwisho wa safari hata moja pamoja na kwamba nakanyaga wese mpaka mwisho
Sent from my SM-G532F using Tapatalk
labda uchukue kenmorth moja hivi then ulifungie zile giant engine ndo mambo yataenda sawaHizi trip za Russia aysè ni ndefu. mpaka sasa sijafanikiwa kufika mwisho wa safari hata moja pamoja na kwamba nakanyaga wese mpaka mwisho
Sent from my SM-G532F using Tapatalk
kwahiyo ukipewa zigo kulisafirisha ndani ya masaa 48 na ndo hivyo hivyo utakimbiza truck lako ndani ya mda wa kawaida ?Haha yan huko muda unaendana kabisa na real time...inabid uwe mpole
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu yaani hapo hakuna key ya ku suport kujaza wese so fanya hivi nenda option ya key and buttons then kaweke active button ya enterWakubwa, Kuna wakati naandikiwa notification kwamba mf. Nikipitia sheli kuweka wese inasema PRESS AND HOLD THE FOLLOWING KEY TO FILL THE DIESEL. KEY ZENYEWE NI (N/A)
Kila nikibonyeza hizo, hamna kitu. Hata nikitaka kulipa passage cost. Nikibinya hizo hamna kitu. Nahold kabisa lakini wapi!! Wenzangu mnabonya vipi ??
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kama inazengua njoo huku indonesia yaani kume damshi ile mbayaDah hi imegoma
Nikiadd mods sioni kwenye play module dah[emoji2955][emoji52][emoji52]
kelphin kepph
kama vile nipo bongo mie
mkuu kama inazengua njoo huku indonesia yaani kume damshi ile mbaya
mara ya kwanza wakat naanza cheza hii map yaani ilikuwa ina scratch ile mbaya. sasa leo hii nimeongeza ram toka 4gb to 6 gb bwana we kama nilikuwa nimechelewa yaani kitu imekuwa fresh ile mbaya ushauli woote wenye 4gb ram ongezeni ili mambo yawe sawa
Aisee..sasa 4 kwa goba sindo ungescratch kama dj...mie ram 8..yani napepea..mara ya kwanza wakat naanza cheza hii map yaani ilikuwa ina scruch ile mbaya. sasa leo hii nimeongeza ram toka 4gb to 6 gb bwana we kama nilikuwa nimechelewa yaani kitu imekuwa fresh ile mbaya ushauli woote wenye 4gb ram ongezeni ili mambo yawe sawa
π π πAisee..sasa 4 kwa goba sindo ungescratch kama dj...mie ram 8..yani napepea..
Hyo Indonesia ndio nahis kupaaa...matrafk huko barabarani wananitaman hawanipat[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
alaf hii kitu nimeoiongezea ile mod ya real traffic density and ratio. wee na barabara yenyewe ndo hiyo ni full foleniAisee..sasa 4 kwa goba sindo ungescratch kama dj...mie ram 8..yani napepea..
Hyo Indonesia ndio nahis kupaaa...matrafk huko barabarani wananitaman hawanipat[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha yan na wembamba ule umeweka na traffic density? Hapo hata kuover take mtihanalaf hii kitu nimeoiongezea ile mod ya real traffic density and ratio. wee na barabara yenyewe ndo hiyo ni full foleni
Saw ngoj nijaribuMkuu sio map zote zinatokea kweny playing module...ww add kisha start game
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijajua mkuupole mkuu mbona mimi ilitokea?
Wakuu ukiactiva mood ya blasil huwezi kucheza mod ya basi na Mimi napenda kupakia abilia hivyo nnaitafuta mod ya kijijini ila iwena uwwzo wakuchukua abilia
kelphin kepph
Ndio hupakii