KMkhalid
Senior Member
- Feb 26, 2018
- 118
- 225
Product keyMbona unatumia old version
Hamia 1.33 au 1.34
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
.msaada v1.34
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Product keyMbona unatumia old version
Hamia 1.33 au 1.34
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Ingia hapo
The product key for Euro Truck simulator 2. - JamiiForums
[/QUOTE ingelikuwa ni hivyo wala tusingelikuwa tunahangaika hapa na cracked game huwezikupata hizo key [ kienyeji ] mpaka ununue game kwenye web yao
hata ukifanya hivyo yatakuwa ni yale yaleFungua kama administrator
wewe acha uongo kabisa. ingelikuwa ni hivyo wala tusingelikuwa tunahangaika hapa na cracked game huwezikupata hizo key [ kienyeji ] mpaka ununue game kwenye web yao
unacheza version gan?
Version za mwanzoni kabisa kwa yale maGame tuliyokuwa tukinunua madukani, km sio miaka minne nyuma basi ni zaidi.unacheza version gan?
kama ni hivyo basi sawa.Version za mwanzoni kabisa kwa yale maGame tuliyokuwa tukinunua madukani, km sio miaka minne nyuma basi ni zaidi.
hayaingizi Mods mwisho unaambiwa wasiliana nao kwa Internet
usiniamini mimi, sijakwama nimetoa wazo tukama ni hivyo basi sawa.
Poleee...vipi,naomba kushare hiyo link ya v1.36Wakuu ngaoja nikalale kwanza nimekwamia hapa, Game kuinstall 1.36 haitaki kwenye Window 10
nimeweka na Intel Graphics
nimedelete ETS zote
sijui nakwamia wapi
cc kcamp, kata shime officiar na wengine okoa jahazi
View attachment 1435945
Mwenye link ta hii 1.36 ,tafadhali[emoji120]Hahah huko tusubr stable... kwanza 1.36 kuna map kibao sijazmalza ikiwepo mkubw goba
Sent using Jamii Forums mobile app
ETS2 1.36.2.2s(Road To Black Sea) hii hapa mkuu iko mwanzoni kabsa wa hii thread iliwekwa na mkubwa k camp
inaonekana kbsa hizo key ni za version 1.1.1 😂 😂 😂 😂 maana wengi walilishare sana hili game
inaonekana kbsa hizo key ni za version 1.1.1 😂 😂 😂 😂 maana wengi walilishare sana hili game ikiwemo na mimi
inaonekana kbsa hizo key ni za version 1.1.1 [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] maana wengi walilishare sana hili game ikiwemo na mimi
mkuu uko sawa but ngoja nikupinge kwanza... hizo key zilizopo kwenye hiyo thread hazifanyi kazi kabsa kwenye hii version. kwa mfano, hapo mwanzoni nilipoanza kucheza hili game nikiwa na v 1.1.1 nika update mpaka v 1.35.35 sasa inshu ikawa ni key yaani nilitafuta mpaka basi, kila key nitakayo iweka ina fail nilijalibu key kama 100 lakini wapi mwisho wa siku nikaelekezwa nifungue account ya steam. napo nikafanya hivyo sasa bas key naziona hapo [zikiwa zimefichwa ] na kuna ujumbe unasema ili nitape key lazima nizilipie kwa $ kuanzia hapo sihitaji tena OG ngoja nihangaike na crack.kabla ya kubisha jaribu kwanza kujaribu sio wewe pekee unaecheza ili game
Tupo kwa ajili ya kuelimishana na sio kuonyesha nani anajua zaidi
Kuna maswali mengi kwenye huu uzi hayajajibiwa fanya angalau kuyapitia tusaidiane wote tu enjoy ili game
Kumbuka key mpaka sasa bado zipo umewekewa cracked version ili usiangaike kutafuta product key