Wakujilipua
JF-Expert Member
- May 5, 2018
- 1,584
- 1,393
ndiyo mpaka raha 😂 😂
zama ets2. LT then car utakuta ni nyingi tu
ndiyo wacha ikujeWenye mikataba mnaambiwa mkamilishe haraka kuna maboresho huko!! Comment za wadau wanahisi ni 1.37 ndo iko njiani... Ngoja tusubiri....View attachment 1440118
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu samahani nimedownload ets2 road to the black sea nikainstall lakin game halifunguki,pia nikajarbu kurun as administrator napo imegoma,sasa sielewi mkuu naomba nipe utaratibu upi niufate ili game liplayKwann usitumie mods za heavy cargo tu ukatia kule kweny mod Manager
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila limeingiamkuu samahani nimedownload ets2 road to the black sea nikainstall lakin game halifunguki,pia nikajarbu kurun as administrator napo imegoma,sasa sielewi mkuu naomba nipe utaratibu upi niufate ili game liplay
yah limeingia lote ila nmejaribu kuangalia videos youtube watu wanavo install kuna vitu sijaelewa ebu nipe maujuzi mkuu
Mkuu na mimi ni hivyo hivyo hako kamchezomkuu samahani nimedownload ets2 road to the black sea nikainstall lakin game halifunguki,pia nikajarbu kurun as administrator napo imegoma,sasa sielewi mkuu naomba nipe utaratibu upi niufate ili game liplay
kwa vile na mm yamenipata tushirikishane.PiaUlipoinstall Hilo game pana space imebakia?
sawa mkuu ngoja tusubiri majibuMkuu na mimi ni hivyo hivyo hako kamchezo
na nimedownload lile la 3.5GB
ukipata jibu niTAG
🤔🤔 daah nashindwa jinsi gani ya kukusaidia mkuu maana mi langu ni lile la gb 7na nyie ni la gb3 daaaah. labda wakuu mjalibu kucheki graphic drive maana mimi pale mwanzo lilivyozingua dawa ilikuwa ni graphic drivekwa vile na mm yamenipata tushirikishane.Pia
space katika Local C imebaki na waliniuliza mwanzo wakati wa kuInstall nikadirect kwenye folder la Game
ilipomaliza nikaongeza na DirectX
sasa ukifungua inaenda hatua zote inakwama kile ki-icon kinazunguka tu na kupote
ninatumia Window 10
kwani lina leta ujumbe gani?Wakuu kila nikifungua ets2 haifunguki sasa nikifuta file LA steam ndo linaanza upya kabisa...ndugu zangu nipeni solution
Sent using Jamii Forums mobile app