mkuu samahani nimedownload ets2 road to the black sea nikainstall lakin game halifunguki,pia nikajarbu kurun as administrator napo imegoma,sasa sielewi mkuu naomba nipe utaratibu upi niufate ili game liplay
ndiyoo
MSEMO WAKE [ SUBILINI VITU VINAKUJA] nasi tunasubili
ndiyooo mwamba hujawai niangusha
Mzigo umekamilika jana 1.37 ishakamilika.. Tupeane maujanja sasa ya kupata hii kitu au tusubiri cracked..View attachment 1441993
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu net huku ni tizi alafu hata uki pause IDM haikubali yaani ni shida tupu bora ingelikuwa ni u torrent hapo tungeenda sawa
hii kweli ni shida , alafu jamaa naona ana project update ya hii 1.36 ambayo ni 1.37 kweli hatutalala.Yani huku Russia kuna vilima havipandiki asee...dah
Napigana ninunue chuma nifunge engine mod ile ndio nahis nitatoboa#goba hafaiπ
mambo ndo haya sasaMzigo umekamilika jana 1.37 ishakamilika.. Tupeane maujanja sasa ya kupata hii kitu au tusubiri cracked..View attachment 1441993
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu net huku ni tizi alafu hata uki pause IDM haikubali yaani ni shida tupu bora ingelikuwa ni u torrent hapo tungeenda sawa
hii kweli ni shida , alafu jamaa naona ana project update ya hii 1.36 ambayo ni 1.37 kweli hatutalala.
ZIGO NI HEAVY+barabara bovu+ umbali wa mwendo km zaidi ya 2500 daaah umetisha!!ππππYani huku Russia kuna vilima havipandiki asee...dah
Napigana ninunue chuma nifunge engine mod ile ndio nahis nitatoboa#goba hafaiπ
daaah!! π’π’π
Goba mzee stock engine inatesa,Yani huku Russia kuna vilima havipandiki asee...dah
Napigana ninunue chuma nifunge engine mod ile ndio nahis nitatoboa#goba hafai[emoji3]
Goba mzee stock engine inatesa,
Sent from my SM-G532F using Tapatalk
hakuna error mkuu alafu nmedownload la gb 7 kwenye kickass torrents
ninyi mnazungumzia mwezini kupeleka madude 1.36 kwenda 1.37hii kweli ni shida , alafu jamaa naona ana project update ya hii 1.36 ambayo ni 1.37 kweli hatutalala.