ninyi mnazungumzia mwezini kupeleka madude 1.36 kwenda 1.37
wakati sisi tupo bongo na 1.35 (mm nimepiga chini nimeanza kudownload lile la Torrent la 7.1GB la 1.36
speed ni ndogo nashusha na Airtel tangua jana jioni hata nusu asubuhi hii haijafika
Terrent nzito naona antivirus inapambana
speed takatifu kbs kuelekea 1.36
hakuna error mkuu alafu nmedownload la gb 7 kwenye kickass torrents
mwendo wa kusuasua toka jana na sasa nipo 43% halafu limesimama
MDOGOMDOGO TU UTAFIKA KIFUPI huduma ya internet kwenye hii nch sijui imelogwa yaani kuanzia voda,ttcl,airtel.tigo nafuu kdgo halotel nayo ukikuta siku imevimba utajutamwendo wa kusuasua toka jana na sasa nipo 43% halafu limesimama
nilikuwa natumia Ant virus ya Kaspesky sasa nimeweka ile ya kihindi SMADAV
lile la 3.5 GB liligoma kabisa kucheza
mwendo wa kusuasua toka jana na sasa nipo 43% halafu limesimama
nilikuwa natumia Ant virus ya Kaspesky sasa nimeweka ile ya kihindi SMADAV
lile la 3.5 GB liligoma kabisa kucheza
MDOGOMDOGO TU UTAFIKA KIFUPI huduma ya internet kwenye hii nch sijui imelogwa yaani kuanzia voda,ttcl,airtel.tigo nafuu kdgo halotel nayo ukikita siku imevimba utajuta
Ni kweli huenda ile Ant Virus ililiharibu lile Game la 3.5GBAlaf nahis antivirus ndio ilifanya game lako lisicheze...
Mim ilinitokea...ant virus ikawa ina disable kurun kwa game..kila nikifungua halifunguk.. kumbe uchaw antivirusNi kweli huenda ile Ant Virus ililiharibu lile Game la 3.5GB
π π π π π π daaah!!!urusi moja hyooo
ila few days tutakuwa pamoja mkuu . ni halali kbsa hii map iwe na gb 6 #GOBA NI MWISHO#hivi kwel putin kashindwa kutia lami kabisaππ
hiyo map ya indonesia ume install ama umeikuta humoNipo Indonesia kidogoView attachment 1411652View attachment 1411653View attachment 1411655
Sent using Jamii Forums mobile app
ila few days tutakuwa pamoja mkuu . ni halali kbsa hii map iwe na gb 6 #GOBA NI MWISHO#