Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

Lipo world bus driving simulator
ni kweli nimeikuta huko lkn mbona ni za Android
halafu Version zinapishana sana
Download World Bus Driving Simulator (MOD, Unlimited Money) v0.96 free on android
1589726902004.png
 
Polr Mkuu sikuwa hewani
naona umeogopa kurudi nyuma/ mwanzo huko kila kitu kipo
ipo # 68 ukiclick hapo utaishusha kwa uzuri na kila maGame mazito tumia hiyo iliwekwa na kcamp
Shukrani mkuu sio kwamba sikurudi nyuma nimerudi ila kuelewa ndio changamoto unajua umri nao huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilikuwa namuelewesha aliyesema,

wataalam humu wamesema tunacheza na PC sio simu za mikononi (android) pia nimemuelewesha kwa sasa tupo version ya 1.36 & 1.37
sasa hayo Mabasi yapo Version ya 0.90
kwa hiyo majibu anayo kilwakivinje anaplay kwa PC au Android?
Mbona imeandikwa kabisa ANDROID,
 
Mbona imeandikwa kabisa ANDROID,
Baba Nla hujaelewa wapi?
ungeanzia nyuma kidogo Post #2503 mazungumzo yameanzia hapo, mleta point ameleta picha
akaeleweshwa hiyo picha ya Bus ni ya simu ya mkononi huku ETS-2 tunatumia PC
bado kilwakivinje akasisitiza alipolipata, ndipo nikamletea kuwa mbona nime google na ni la simu?
sasa tumuache mwenyewe ajibu sio kuniuliza mm mngeanzia kwake, hapa tupo kueleweshana
mm najua ETS -2 ni la PC na picha aliyoiweka ni ya simu ya mkononi

post: 35389155 said:
Hizo simulator za kawaida tu..hakuna ets2 ya simu
hili ni la kwenye simu au?
post: 35389081 said:
daah hili labda ni jipya kwangu na play store sizani kama lipo.
1589731161628.png
 
Baba Nla hujaelewa wapi?
ungeanzia nyuma kidogo Post #2503 mazungumzo yameanzia hapo, mleta point ameleta picha
akaeleweshwa hiyo picha ya Bus ni ya simu ya mkononi huku ETS-2 tunatumia PC
bado kilwakivinje akasisitiza alipolipata, ndipo nikamletea kuwa mbona nime google na ni la simu?
sasa tumuache mwenyewe ajibu sio kuniuliza mm mngeanzia kwake, hapa tupo kueleweshana
mm najua ETS -2 ni la PC na picha aliyoiweka ni ya simu ya mkononi




View attachment 1452771
ok sawa,, but ets2 la kweny simu lipo, changamoto ni kwenye kuli-instal, nilifuatilia kwa jamaa flani wa kihindi kupitia Youtube anaonyesha anavoliweka lakini mimi nilikwama kwenye kipengele cha ku-confirm kwamba mimi sio roboti jambo ambalo nilishindwa hadi sasa nacheza kwenye PC tu
 
ok sawa,, but ets2 la kweny simu lipo, changamoto ni kwenye kuli-instal, nilifuatilia kwa jamaa flani wa kihindi kupitia Youtube anaonyesha anavoliweka lakini mimi nilikwama kwenye kipengele cha ku-confirm kwamba mimi sio roboti jambo ambalo nilishindwa hadi sasa nacheza kwenye PC tu
Ni kweli Mkuu tupo pamoja mm la kwenye simu nimemuachia mwanangu wa 7yrs kagoma anataka la Computer.
tupo pamoja
 
ok sawa,, but ets2 la kweny simu lipo, changamoto ni kwenye kuli-instal, nilifuatilia kwa jamaa flani wa kihindi kupitia Youtube anaonyesha anavoliweka lakini mimi nilikwama kwenye kipengele cha ku-confirm kwamba mimi sio roboti jambo ambalo nilishindwa hadi sasa nacheza kwenye PC tu
Hakuna kitu kama hicho mkuu, mm nilidowload na nika install kwny cm na likagoma, pia nilifatilia kila kitu alichosema huyo jamaa muhindi lkn haiwezekani mkuu, pia you tube kuna tutorial inaonesha kwamba hakuna ets2 ya kwny cm.
 
Hakuna kitu kama hicho mkuu, mm nilidowload na nika install kwny cm na likagoma, pia nilifatilia kila kitu alichosema huyo jamaa muhindi lkn haiwezekani mkuu, pia you tube kuna tutorial inaonesha kwamba hakuna ets2 ya kwny cm.
Ndo hivo tunatofautiana kwenye utaftaji,, Kumbuka game ni software tu haina kitu kipya, kama PES, FIFA, GTA SAN ANDREAS na mengine yapo kwenye android hili ETS 2 lina nini kipya,, ni maujanja ya kuliweka tuu
 
Hakuna kitu kama hicho mkuu, mm nilidowload na nika install kwny cm na likagoma, pia nilifatilia kila kitu alichosema huyo jamaa muhindi lkn haiwezekani mkuu, pia you tube kuna tutorial inaonesha kwamba hakuna ets2 ya kwny cm.
na kuongeza tu ni kwamba wanao tengeneza hizi android game na ku rename bus zoote kwa majina ya tz wapo ila ukiwaendea pm watakwambia nenda ka search play store😂😂 na huwezi kuzipata
 
Ndo hivo tunatofautiana kwenye utaftaji,, Kumbuka game ni software tu haina kitu kipya, kama PES, FIFA, GTA SAN ANDREAS na mengine yapo kwenye android hili ETS 2 lina nini kipya,, ni maujanja ya kuliweka tuu
mm kwangu naona kuna tofauti kubwa sana na Game za GTA, FIFA, Doom Collection etc
ETS-2 ipo Online na saa yoyote inabadilika lazima uwe na Key au upate Crack kwa wajanja
nakupa mfano wa hiyo picha ni ya Hondulandia, umesema umepark manual, hapo mm nimemaliza Root ypte na nimebakiza masaa 5h 25 mn hebu pakia na cheza km utafikisha mzigo mm najitoa kabisa ETS-2 NA humu jukwaani, kwani litakuwa km Game la watoto la FIFA 1998
naomba picha na Time remaining km mzigo umefika
1589733508631.png
 
Back
Top Bottom