sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,291
Yeah.. Ukiwa na mshine ya nguvu fresh tu.. Ila iwe nje ya mji.. Ukiwa mjini naona ukiwa unazidisha sana spidi wanakutupa njee.. Uzuri nmeona unaweza ukapanga watu kama wawili na kuendelea mnachagua mnaanza sehem moja then muende sehem moja.. Hapo ndo raha sasaHIZO LIGI MI NDO NAZITAKA. SOON NAFUNGA HP 750 SIJUI WATANIFANYA NINI
EBWAAANA WEE HAPO SASA. ndo napahitaji UKWAJU UKO WAPI WEWE TWENZETU JIJINI MANCHESTER ...Yeah.. Ukiwa na mshine ya nguvu fresh tu.. Ila iwe nje ya mji.. Ukiwa mjini naona ukiwa unazidisha sana spidi wanakutupa njee.. Uzuri nmeona unaweza ukapanga watu kama wawili na kuendelea mnachagua mnaanza sehem moja then muende sehem moja.. Hapo ndo raha sasa
Mwambie akupe link hizo tu joinkuna mkenya kaniambia yeye yuko na group na hata hapa tz kumbe group lipo
HAINA UTATA HILOSWALA LAZIMA LISHUGHULIKIWE AU KUNA MOJA YAJAMAAFRANHIV YOU TUBE ANAITWA WOMBART TRUCK SIJUI USHAMFAHAM?Mwambie akupe link hizo tu join
Ishaisha [emoji17]fanyeni chap wakuu hii offer na inaisha tarehe 9/7/2020
POLE
Kupata keys bila kulipia ni ishu mkuu.. Hapa naona wengi tuliamua kulipia tu maana walikuwa na offer walishusha sana bei kwenye steam..
m pesa, master card, paypal,Malipo yanafanyikaje?
Aisee...hii mbna mpyaHaya jamani, Mimi Baba Nla wa Europe nimebadilisha Pc, now nina Asus N53sn 700HDD, Intel i7, NVIDIA Geoforce 550 2Gb, lakini baada ya kuinstal Euro Truck naona linanambia euro truck has found no valid graphic device found, nimejaribu ku-update graphic card, kuli-uninstal lakin naona bado linanipa iyo error, naombeni mlowahi kukutana na hii ishu mnisaidie niendelee kuenjoy my Europe..
Natanguliza shukrani
Ume update graphics kwa kutumia nn?Haya jamani, Mimi Baba Nla wa Europe nimebadilisha Pc, now nina Asus N53sn 700HDD, Intel i7, NVIDIA Geoforce 550 2Gb, lakini baada ya kuinstal Euro Truck naona linanambia euro truck has found no valid graphic device found, nimejaribu ku-update graphic card, kuli-uninstal lakin naona bado linanipa iyo error, naombeni mlowahi kukutana na hii ishu mnisaidie niendelee kuenjoy my Europe..
Natanguliza shukrani
direct X ipo na nimeupdate iko poa kabsa,Aisee...hii mbna mpya
Vp direct x ipo?
Nimetumia ile njia ya device manager>display>graphic updateUme update graphics kwa kutumia nn?
https://www.google.com/url?sa=t&rct...r.intel.com/&usg=AOvVaw1RPSgxgC33sYyXj64_6EAf umeshajalibu ku install hiz drive ?Aisee...hii mbna mpya
Vp direct x ipo?
yaan daah, may be ni window itakua na shida but everything iko good, natumia window ya 2019 but magem mengine yana play fresh, nina Need For Speed Most Wanted na PES 2017 yako poa tuHii ndo yenyew sasa hapo hatar kama unapata hiyo error..ngoja wadau waje..namim badae nikitulia ni google vzr