Wakujilipua
JF-Expert Member
- May 5, 2018
- 1,584
- 1,393
ππππππ puno ni msala wengine tulikimbilia hondula nako kukawa ni msala zaidi ya puno ππ mwisho tumeludi ulaya kama kawa ππ huku nako msala hakuna kuweka mod ya engine ya hp 3000 wala 1000.Nnawazoom tu,me Niko puno ,nmeingia korongoni
Nnasubir winch lije linitoe
kcamp kata shime officiar wazee mnisaidie mnaroho mbayaaaaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
mzeebaba umenikumbusha hizo nchi kuna barabara zinazo katisha chini ya miamba na round about za chini kwa chinipande za norway - denmark hizo..nilikuwa napiga external contracts hizo..
na kuna baadhi ya watu niliwah ikuwaulizia kuhusu jf asilimia 80 walidai hata hawaijui jf. sijui walinidanganya. kwa kuhofia kujulikanaNahisi Wadau wapo wengi sana, sema hawajafahamu forum ya ets2 iko wapi.
Naipataje Hii kituHaha ni dola 4 tu kumbe?
Aisee itabd nibuy..tunakosa utam wa mult player humu
Naipataje Hii kitu
Safi sana. Vipi inafanya kazi vizuri?
Mbona naona kama sale imeisha? Cheki hapo chini au nimekoseaNaipataje Hii kitu
Atar mzee babaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] puno ni msala wengine tulikimbilia hondula nako kukawa ni msala zaidi ya puno [emoji23][emoji23] mwisho tumeludi ulaya kama kawa [emoji23][emoji23] huku nako msala hakuna kuweka mod ya engine ya hp 3000 wala 1000.
Nipo Rotterdam NetherlandJAMANI NIPO kwenye TruckersMP sasahivi.
LE MANS UFARANSANipo Rotterdam Netherland
cha mtoto hapo Puno, bado tu upo korongoni, hujaita garage wakutoeNnawazoom tu,me Niko puno ,nmeingia korongoni
Nnasubir winch lije linitoe
kcamp kata shime officiar wazee mnisaidie mnaroho mbayaaaaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Yah hyo ndo itakuwa tamu sana cz huwa nawaonea gere sn wahindi kule u tubeYeah, yani bei itakuwa nafuu sana ili wadau mfaidi ets2
Wengi wanaijua km chombo cha habari tu lkn hawajui ikoje, yn cku wabongo wataijua Jf wale wa fb wote watahamia humu amini kwamba mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]na kuna baadhi ya watu niliwah ikuwaulizia kuhusu jf asilimia 80 walidai hata hawaijui jf. sijui walinidanganya. kwa kuhofia kujulikana
Ww itakua unaweka mods zisizo compatible na game version yakoKila nikijaribu kuweka maps kwenye folder la mod,,nikijaribu kuload game inagoma
.Nisaidieni nataka kuweka new maps
Rotas Brasil v 1.0 | Allmods.netNnawazoom tu,me Niko puno ,nmeingia korongoni
Nnasubir winch lije linitoe
kcamp kata shime officiar wazee mnisaidie mnaroho mbayaaaaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Aisee hii version ya mwaka gan[emoji3]Inaonesha hivi..So hizo option nyingine sioni..Tatizo litakua nn?View attachment 1523552
Yes mi pia nna jamaa zangu kama wa 4 hivi wanacheza ets2 version za nyuma kidgo...hapa juzi tu nimewaonyesha ntafungua vioo ndio wamekuja kuifata hapa homeNahisi Wadau wapo wengi sana, sema hawajafahamu forum ya ets2 iko wapi.
Oh hatariiiRotas Brasil v 1.0 | Allmods.net
Njoo rotas brazil..hatar sana mkuu..nazan unazijua map zinazoa anza na rotas[emoji16][emoji16]
Mzgo una 4Gb yan hatar
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app