Anhaa nmekuelewa...mm nacheza kushoto siku zote...kulia huko UK sijawah pita...so huenda kwel haifany kaz kushoto.
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Nina Intel Core i5, 3.3GHz, 8GB RAM Ila nacheza low setting japo haligandi....Mchawi Graphics Specs.Napasha nichukue pc ram nyingi ya ram nne linaganda
Crack auKuna aliyefanikiwa kupata hii version mpya version 1.40 maana nasikia yamoto sana...Mimi bado nipo version 1.38.
Eeh crack ..au tusibiri bado wahuni wanaifanyia kazi!!?
crack badoooo mkuu ikiwa tayali utajuzwaEeh crack ..au tusibiri bado wahuni wanaifanyia kazi!!?
Na sikia ndo inatokaKuna aliyefanikiwa kupata hii version mpya version 1.40 maana nasikia yamoto sana...Mimi bado nipo version 1.38.
Tayari wamekiachia icho but Iberian DLC bado hawajatoaNa sikia ndo inatoka
Unamaanisha Siberian DLC!?? Manake hiiTayari wamekiachia icho but Iberian DLC bado hawajatoaView attachment 1733590
Site gani mkuu!!Yap crack tayari ipo ila ina gb8 [emoji119][emoji119]
1337x.toSite gani mkuu!!
Sawa sawa... Hizi torrent site nina bahati nazo sana nikidownload games huwa hazizingui1337x.to