kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,517
- 7,984
- Thread starter
- #3,841
Haha dah nimecheka sana...hawa vijana wa tanzania naona wamechafukwa
1]mwinuka
huyu ni IT [emoji119] [emoji119] map ya icrf kaifanyia mautundu kaigeuza geuza mpaka saa hii inaonekana ikiwa na mazingira ya hapa tz pia kun baadhi ya vitu ameongezea
2]kareem designer
aliaanza project yake ya kuweka mabus ya kibongo ndani ya game lakin kwa sasa naona ameamua kuwekeza nguvu zaidi ktk hiyo project yake yaani kaweka kila aina ya kampuni ya bus ya hapa tz.[emoji91][emoji91][emoji91]
3]katashime 001
kiukweli huyu jamaa ni kama haeleweki hiv sijui ana feli wapi 😎😎
K camp
Huyu ni mtafiti wa mod mbalimbali kama mnakumbuka aliwahi kuvumbua chaka la honduladia
Kwamba katashime yeye ni mzee wa matrailer tu..hataki tabu
Aisee hondulandia ile ni map ya dunia
Huyo mwinuka ndo yupi? Anatumia nani ig?
Alafu kareem kweli hatuez pata ile pack yake? Mana naona tamu sana
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app