Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

hawa vijana wa tanzania naona wamechafukwa
1]mwinuka
huyu ni IT [emoji119] [emoji119] map ya icrf kaifanyia mautundu kaigeuza geuza mpaka saa hii inaonekana ikiwa na mazingira ya hapa tz pia kun baadhi ya vitu ameongezea

2]kareem designer
aliaanza project yake ya kuweka mabus ya kibongo ndani ya game lakin kwa sasa naona ameamua kuwekeza nguvu zaidi ktk hiyo project yake yaani kaweka kila aina ya kampuni ya bus ya hapa tz.[emoji91][emoji91][emoji91]

3]katashime 001
kiukweli huyu jamaa ni kama haeleweki hiv sijui ana feli wapi 😎😎

K camp
Huyu ni mtafiti wa mod mbalimbali kama mnakumbuka aliwahi kuvumbua chaka la honduladia
 
Iyo mashine ni noma
Graphic ni fireeeeeeeee
Wenye pc weakness specification ndo bye bye
Ikiwemo na mimi [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Oi machif,nashda na kupata site ya kudownload map mods nzuri nzuri kwenye version ya 1.36 naomben mnisev
 
Graphic ni fireeeeeeeee
Wenye pc weakness specification ndo bye bye
Ikiwemo na mimi [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kwan imebadilishwa requirments? Mbona sijaona?
 
Wanasemaje??? Minimum requirements for graphics!??...Wasitubague tu sisi wa Intel HD jamani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…