Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

Ukwajua anataka kutembea puno kama yupo morogoro road[emoji1787]
Bwana Ukwaju kule Puno kama huna engine yenye hp kubwa ile milima kupandisha ni ndoto
Uendeshaji wakule unahitaji subra, ukitaka kwenda kama upo kwenye jamvi la mwendokasi lazima ajali uzipate tu.
 
Tafuteni na pro mod map moja kalii alaf clean
 
Sasa Niko ndani ya Brazil na scania s 730 yaan ni laha tupu
ingia Gereji nunua injini hiyo s730hp kuna milima Brazil hupandi
nunua na gear box kabisa
halafu hiyo ya Slovakia mbona umeweka Screen shot hatuwezi kudownload
hebu hapo http://www.ets2world.com/slovakia-map-by-kapo944-v6-2-7-map/
mm najaribu hii ya Realistic Russian Highway ina 160MB nitaleta mrejesho km ni version ya 1.35 inakubaliana http://uploadas.com/oi6mj7kd6yjy/REALISTIC_RUSSIAN_HIGWAYS_V6.0_MAP_MOD.rar.html
 
ingia Gereji nunua injini hiyo s730hp kuna milima Brazil hupandi
nunua na gear box kabisa////

We thubutu Nina mod ya engine.yaani ni vulugu balabalani
 
Pamoja mkuu, ngoja kwaza ni enjoy ets 2 mpaka levl za 26 hv ndio niende peru na brazil
 
Mhhh hii ingine ya 3400 hp uki + na mabonde njiani naona nitateseka Sana Kila mala nikwenda garage.[emoji602][emoji597] Mhhh ngoja nii ng'oe chap kidogo
 
Huna discipline ww,kuna maeneo ya kukimbia na kuna maeneo ya kua mpole [emoji16]
Mhhh hii ingine ya 3400 hp uki + na mabonde njiani naona nitateseka Sana Kila mala nikwenda garage.[emoji602][emoji597] Mhhh ngoja nii ng'oe chap kidogo
 
Hili game ninalo la android, naweza kuweka mode mpya na za challenges zaidi....
 
Nauliza tu..
Processor 2.30Ghz
Ram 4gb
Hd graphics 3000
32 bit operating system
Window 7 premium.
Core i3-2350m

Naweza kucheza magemu mbona naona sielewi elewi halafu hobby yangu magemu hasa magari..
 
Yeah inaweza
Nauliza tu..
Processor 2.30Ghz
Ram 4gb
Hd graphics 3000
32 bit operating system
Window 7 premium.
Core i3-2350m

Naweza kucheza magemu mbona naona sielewi elewi halafu hobby yangu magemu hasa magari..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…