Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hsante chief. ngoja niintall sasaUnaweza mkuu
kama hutojali mkuu naomba mwongozo wako wa hatua kwa hatu hadi nifanikiwe maana nikifungua hiyo torrent nakosa pa kuanzia chief. msaada wako tafadhari.Unaweza mkuu
sina mkuu.Una u torrent?
link siioni mkuu.Pakua hapa
BitComet - Downloadslink siioni mkuu.
ahsante chief
Hapana, kuna error ktk kuinstall ETS2 1.30 angali pichaUlifanikiwa?
Once again, ahsante maana niliweza kuinstall na kucheza, kwa mara ya kwanza nilicheza vzr tu, nilikusudia kupakua mods bada ya kununua gari langu.
punguza mode na setting ziweke za kawaida na pia ukilicheza toa betri ya pc isije ikafa kama yannguOnce again, ahsante maana niliweza kuinstall na kucheza, kwa mara ya kwanza nilicheza vzr tu, nilikusudia kupakua mods bada ya kununua gari langu.
Shida ninayokabiliana nayo sasa, ni game kuganda sana tena kwa zaidi ya sekunde 10, kiuhalisia linanitoa mood asee.
Weza nisaidia nini cha kufanya chief?
Ahsante chiefpunguza mode na setting ziweke za kawaida na pia ukilicheza toa betri ya pc isije ikafa kama yanngu
Nenda setting then graphics weka low kwenye game utacheza vyema tuAhsante chief
Kwanza kabisa cjapakua mod yoyote.
Pili, hapo kwenye setting ndo nahitaji mwongozo, maana mara kadhaa nimekwenda pale na nikakosa kitu sahihi cha kufanya ilikulipunguzia mzigo.
Kama hutajali naomba unipeleke hapo hatua kwa hatua.
Ahsanten wakuu.Nenda setting then graphics weka low kwenye game utacheza vyema tu
Ninayo hio mkuu v1.30.2, nataka niweze kupata auto updates napia niweze kuifurahia game zaidiHutaki crack?