Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

wajameni puno peru sasa kuna vita. nimepewa tenda hapa ya kusafilisha kifaru.
 

Attachments

  • ets2_20191121_043641_00.png
    982.2 KB · Views: 3
  • ets2_20191121_043555_00.png
    1.3 MB · Views: 4
Wakuu naombeni kuelekezwa jinsi ya kuunganisha gemu letu pendwa ili kucheza kwa kutumia usb game pad
Game Pad naona ndio hiyo Joy Stick zote zimewekwa kundi la 3 hapo chini
unapoaanza kutafuta nini cha kuendesha Control Game unalizwa unataka Mouse? Keybody? Joy stick, stearling, na vyote vikolombwezo bonyeza hiyo ya chini lkn hakikisha umeshaunganisha hiyo usb ya kifaa chako na Computer yako
 
Vip umeset imekubal?
Mkuu dah!!! Nilipofungua huu uzi na kusoma thread yako nilipata furaha ya ajabu maana mimi games nazipenda sana.

Sasa mkuu mimi nina Samsung j 6 vipi itafaa ama?
 
Vip umeset imekubal?
IMEKUBALI kuingia kwenye Mods sasa ngoma kuziwasha, kuna mahali walisema tutumie S au R naona zinakataa labda kwangu ni mchana ngoja giza liingie nitatafuta
 
Mkuu dah!!! Nilipofungua huu uzi na kusoma thread yako nilipata furaha ya ajabu maana mimi games nazipenda sana.

Sasa mkuu mimi nina Samsung j 6 vipi itafaa ama?
Mkuu hii ni kwa PC tu ..huna laptop?
 
Ndo zao wanasemaga hivyo ila haziwaki...jaribu kuwasha beakon uone kama zitawaka,,ikigoma nikupe mod yangu
IMEKUBALI kuingia kwenye Mods sasa ngoma kuziwasha, kuna mahali walisema tutumie S au R naona zinakataa labda kwangu ni mchana ngoja giza liingie nitatafuta
 
Ndo zao wanasemaga hivyo ila haziwaki...jaribu kuwasha beakon uone kama zitawaka,,ikigoma nikupe mod yangu
neenda Beacon Mkuu wakanielekeza nitumie herufi O au I ambazo ni za Dashboard HAKUNA kitu
nipe maujanja Mkuu kcamp twende pamoja
 
vitu kama hiv huwez kupata kwingine zaid ya hum jf
 

Attachments

  • ets2_20191122_213941_00.png
    1,004.7 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…