Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

Sasa huo mzgo utabdi tuushushe...ila sema link za sharemods hazina resume..so net ikicheza au bando likikata ndo uanze 1

Sema nmefurah kuona mzgo wa goba uko hewan..mana jamaa hakosei[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshaushusha hapa ndio nataka nicheki

Sent from my SM-G532F using Tapatalk
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba wanaleta utani na job..

Sent from my SM-G532F using Tapatalk

Yeah mkuu, kuna wakati mwingine wanarudi bila kupata mzigo. Hela yangu inakatwa ya mafuta. Mshahara na matengenezo hadi kero.


Alafu nilitaka wapige mzigo ili hela yao iwe inalipa deni la Bank, wanaenda kilomita sawa na mimi ambazo naingiza 30k wao ni buku buku na jero.
 
Yan nna profile kama 3
Yakwanza nimedoweka mods ya profile ya mtu
Ipo level 56 mkwanja Kama wote... garage Kama 1000 alafu nnachuma moja noma
Juz Kati nmenunua bas inaingiza mawe tu
Yapili nnacheza huko Brasil yan nouma
Huko nnabillion Tisa yaani
Afu level y 13
Yatatu ndo Peru
Nipo level ya 4 mbanga kila kukicha
Kunasehemu kunakona Hadi dereve katokea kioo Cha mbele[emoji16][emoji16]

K,K
 


Asee garage 1000. Basi mimi nakaa pembeni garage 2 na return ya jero jero. Pesa iliyopo laki 1 wewe una billion duh!

Nawapa saluti.


Tatizo nikifukuza hawa madereva watakuja wanaonilipa 366 per day, bora hawa wa jero.

Mkuu nipe mji ambao una garage ulio na dili nyingi kuliko mingine?
 
Me nlidownload profile ya mtu nikaiedt kidogo

K,K
 
Sasa huo mzgo utabdi tuushushe...ila sema link za sharemods hazina resume..so net ikicheza au bando likikata ndo uanze 1

Sema nmefurah kuona mzgo wa goba uko hewan..mana jamaa hakosei[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
KWELI KABISA. NA NINA ONA KAAMUA KUIACHIA TOKA KWENYE WEBSITE YAKE ILE AU KUNA NYAMWELA MMJA KADUKUA?
 
MKUU yaani kumbe hata pesa yenyewe ni ya mkopo! na bado MADEREVA WAKO UMEWANUNULIA truck na trailer na bado wanaleta buku buku bas wote TUMBUA
 
Sasa huo mzgo utabdi tuushushe...ila sema link za sharemods hazina resume..so net ikicheza au bando likikata ndo uanze 1

Sema nmefurah kuona mzgo wa goba uko hewan..mana jamaa hakosei[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu issue ya kuresume ni ndogo sana... Tumia IDM browser for android kudownload files, kwa link ambazo huwezi ku-resume kuna option ya ku-update download link from browser then itakuletea link mpya ambayo itamerge na existing downloaded part ya hio file... Yaan mzigo unaendelea palepale na file lako haliwi corrupted...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah sasa hii ni mkomboz wa sharemods
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…