ngoja leo nami nichukue ujuzi toka kwako mkuu eheee endelea
steam ipo ila inshu ni product key
steam ipo ila inshu ni product key
Mkuu hizi map zina shida gani?Map EAA ya America..map moja tamu sana...yani unadrive unaenjoy mazigira hadi barabara
MAPA_EAA_5-4
MAPA_EAA_5-4-old
MAPA_EAA_5-4_BASE
MAPA_EAA_5-4_BASE
Sent using Jamii Forums mobile app
Ku disable dlc sio lazima steam mkuu.. Connect tu na internet then pale mwanzi unapochagua profile yako kuna sehem juu kushoto imeandikwa dlc browser kama skosei unackicl hapo dlc zote zitaload then unaweza kuzi disable from there..Mim najua njia ya kutumia steam..
Hebu kadownload steam setup kwanza kisha rudi hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mfano kuna hii inatwa TS SE Tool, unaweza ukaedit profile yako unavyotaka na kumiliki hata garage zote za kwenye game ukitaka.. Cha msingi tu kabla hujatumia kwanza fanya delivery zile za mwanzo kama mbili hivi then unaenda kutumia hii..Na kwa wale wanaopendelea kuwa na magarage na hela nyingi kuna mods nyingi tu za kufanya hivyo.. Hii inakurahishia ku enjoy map.. Badala ya kutumia mda mrefu hadi ufike levels za juu unatumia tu mod/tool ya ku unlock garage zote baada tu ya kufanyabile delivery ya kwanza na unajipa hela unayotaka then wewe kazi yako inakuwa ni kupiga safari tu unapotaka..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hizi map zina shida gani?
Nimeziactive lakini kwenye playing module haipo active
Sent from my SM-G532F using Tapatalk
Hiyo njia naijua ila nahis haifany kazi kweny hizi crack tunazo tumia..au ulishawah test mkuu ukafanikiwa kweny crack?Ku disable dlc sio lazima steam mkuu.. Connect tu na internet then pale mwanzi unapochagua profile yako kuna sehem juu kushoto imeandikwa dlc browser kama skosei unackicl hapo dlc zote zitaload then unaweza kuzi disable from there..
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwahi kujarib version ya nyuma kdogo (kipindi ile dlc ya France inatoka) ikakubali kui disable..Hiyo njia naijua ila nahis haifany kazi kweny hizi crack tunazo tumia..au ulishawah test mkuu ukafanikiwa kweny crack?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko wapi? Mm niko Chanika, kama unaweza njooWakuu nimeshindwa kulishusha hili game.
Naomba ambaye analo tukutane aniwekee kwenye pc wakuu.
Aise game langu nikiwa nnacheza linajipause Sasa shida hapa Hadi Ni restart
K,K
Mzingo tone 260 sio poa kama huna vigezo vya kuendesha uwezi sukuma zingo
View attachment 1411437
View attachment 1411438
Wakuu nimeshindwa kulishusha hili game.
Naomba ambaye analo tukutane aniwekee kwenye pc wakuu.