Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Yaani hamna hamna mtu uwe na 8gb kidogo.
Ana utani na gamers huyo,2gb ulimwengu wa leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana utani na gamers huyo,2gb ulimwengu wa leo?
Io steam nliona jumu wanasema ina uncheck na mm nka uncheck haijanisumbuaMkuu ni kweli umefanikiwa kudownload mimi kulifungua linanipa warning ya
hofu yangu RAM bado nina 2GB wanashauri niwe angalau na 4GB
sasa sijui km ni tatizo au steam ni kitu gani
View attachment 1124498
Ahukrani sana sana cheif.Soma uzi mkuu umeelezea jinsi ya kuweka mods
Wakuu nielekezeni namna ya kuondoa speed limit
Ukwaju unakwama wapiii [emoji3]View attachment 1126290
Jamaa nakusanya vijisent vyangu wanavikata balaa[emoji23][emoji23][emoji23] faini zimekuchosha.
Jamaa nakusanya vijisent vyangu wanavikata balaa
Unaondoa utamu wa game mzee baba, hivyo vikwanzo ndio vimefanya likaitwa game......Wakuu nielekezeni namna ya kuondoa speed limit
Asante mkuu...vp kuusu kunyanyua ni key gan inatumika kama nikidondokaYou can remove the speed limiter from the gameplay settings by unticking "Truck Speed Limiter":
Najichallenge mkuu kwenye control[emoji23][emoji16][emoji3]Unaondoa utamu wa game mzee baba, hivyo vikwanzo ndio vimefanya likaitwa game......
Unataka ukimbie tu mpaka kwenye kibao cha speed limit kwan unawahi wapi....ukiua watu je
Wakuu nielekezeni namna ya kuondoa speed limit
Mimi nacheza mpaka siku mbili yaani unacheza mpaka mgongo unauma ndio namaliza root na sitoi speed limit..Nasisi tunaotembea route za masaa 60 tuweke speed limits?