kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,517
- 7,984
- Thread starter
- #1,881
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naikumbuka hii sehemu huwa ni shida kuna kona kama 14 hivi mithili ya nyoka
hata mi naona
hamna kitu kinacho boa kama hiki haswa ukiwa kwenye mzuka wa kucheza game
Achanaikumbuka hii sehemu huwa ni shida kuna kona kama 14 hivi mithili ya nyoka
Map?Download Sibir LOCK original rar
Haya sasa harsh Russia Siberia mzigo huo 1.36,una 6GB....wakali wanajua mwanzo tulikua tunacheza harsh Russia baikal r9..sasa hii siberia sjui itakuaje..mambo ya goba hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah pole mkuu...fanya upate adaptor...Dah nimemiss mzigo, uko kwenye pc alafu adapter imeungua shit. Alafu nikilkuwa na mzigo kutokwa Norway kwenda Odense. Nimeapa kuimaliza map yote ya ulaya ndio nije kwenye mods.
Norway wana barabara nzuri sana. BHV watanisamehe mzigo wao
Hahah pole mkuu...fanya upate adaptor...
Huku mod ndo kama hivyo mzigo wa harsh Russia umetoka basi noma kwel
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kusema kweli mimi stock map nimeiacha siku nyingi...nimekua nikipiga misele uchochoroni tu...ngoja wadau wa Europe waje kama wanajibu zuri kuhusu hao mamwela wafunga njia...Ngoja kwanza niimalize map ya Europe, nipo 11% explored, naamini nilikosea kuweka kituo changu cha kwanza Bremen. Hakuna mizigo. Kihivyo, Hannover, Odense, Jonkoping, Vaxjo, Helsink kuna mizigo ya ukweli.
Kinachonikera ni polisi kufunga barabara kikukiwa na ajali, nikizibua njia ajali inapotea fala zao.
Mkuu unajua muda wa kusubiri polisi wafungue barabara?
Kingine i like Europe kwanza, haya makampuni ya Europe yananifurahisha BHV, ITCC, WGCCC, GNT, EUROGOODIE, TIMBER TURTLES, ngoja kwanza nijifunze vitu vingi ndio nakuja kwa map.
Fanya mzeee, kunijibu muda wa kusubiri police roadblock kukiwa na ajali?.
Aisee hao watumbue mkuuAlafu hawa madereva wanaofanyia garage yangu kazi kuna njia yoyote ya kufanya waniletee pesa nzuri. Haiwezekani ninunue mashine ya dola laki moja, alafu uniletee Jero kwa siku.
Kuna njia wakuu?
ProMods Compatibility Update for ETS2 1.36 | ProMods BlogTatizo nikileta wengine afadhali wa jana, yaani vyuma nilivifanyia modifications vibebe heavy cargo na kila aina za mzigo alafu jamaa ananiletea jero[emoji23][emoji23].
Hiyo pro mod, ya version 1.36.22 naomba link
[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba wanaleta utani na job..Alafu hawa madereva wanaofanyia garage yangu kazi kuna njia yoyote ya kufanya waniletee pesa nzuri. Haiwezekani ninunue mashine ya dola laki moja, alafu uniletee Jero kwa siku.
Kuna njia wakuu?
Watimue mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Alafu hawa madereva wanaofanyia garage yangu kazi kuna njia yoyote ya kufanya waniletee pesa nzuri. Haiwezekani ninunue mashine ya dola laki moja, alafu uniletee Jero kwa siku.
Kuna njia wakuu?
Ah mkuu nakula mbanga mala nne per trip Peru,[emoji16][emoji16][emoji16]
Ah mkuu nakula mbanga mala nne per trip Peru,[emoji16][emoji16][emoji16]
K,K