naomba nipigilie msumali hapa
aisee kwa kifupi hizi mod hususa za ramani ukiona mtu anadrive ndinga unaona raha lakini kimbembe alichokutana chomtengenezaji ni hatari.
sasa fikilia unapewa li dude kama hili uanza kuiunganisha njia sijui unaanzia wapi na wala unaishia wapi.
nashauli kama unachochote kile unaweza mchangia dv ili kazi iendelee
View attachment 1869401
View attachment 1869402
View attachment 1869403
na hapo bado kazi kama zote bado zinakusubili mojawapo ni kama hii yaani ukikosea kidogo tu ramani haisomi.
View attachment 1869416
View attachment 1869416
View attachment 1869416