Fahamu kidogo kuhusu Eng. Thadeo Lwanga

Fahamu kidogo kuhusu Eng. Thadeo Lwanga

Hank_31

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
862
Reaction score
2,148
Name: Thadeo Lwanga
Position: Midfielder
Role: Defensive midfielder,
Playing style: Anchor man, destroyer, and ball winning midfielder.

Mnamo 2014, kiungo wa Uganda Taddeo Lwanga [emoji1254] alitafutwa kujiunga na Simba SC [emoji1241] wakati akiichezea Express FC ya Uganda. Alikataa ofa na kubaki Uganda na kumaliza masomo yake katika Chuo Kikuu cha Makerere.

Miaka mitatu baada ya kuhitimu na BSC. Software Engineering, alihamia Misri kuichezea Tanta SC [emoji1093] na mwaka mmoja baadaye akasainiwa na Simba SC [emoji1241], klabu aliyoikataa mnamo 2014 ili kumaliza masomo yake.
 
Name: Thadeo Lwanga
Position: Midfielder
Role: Defensive midfielder,
Playing style: anchor man, destroyer, and ball winning midfielder.
Mnamo 2014, kiungo wa Uganda Taddeo Lwanga [emoji1254] alitafutwa kujiunga na Simba SC [emoji1241] wakati akiichezea Express FC ya Uganda. Alikataa ofa na kubaki Uganda na kumaliza masomo yake katika Chuo Kikuu cha Makerere.

Miaka mitatu baada ya kuhitimu na BSC. Software Engineering, alihamia Misri kuichezea Tanta SC [emoji1093] na mwaka mmoja baadaye akasainiwa na Simba SC [emoji1241], klabu aliyo ikataa mnamo 2014 ili kumaliza masomo yake.
CLUwhyJHcjf_0.jpg
 
Mambo ya pesa hayo.ndo maana mnaona WACHEZAJI WAZURI wanaingia Simba. Simba imejipanga na WACHEZAJI WAZURI na imesajili vizuri.washindwe wao.
 
Simba inawachezaj wasomi humu Eng lwanga kule wakili msomi Bernard

Yanga wanae eng hersi said mkal wa mipango nje ya uwanja
 
Back
Top Bottom