Fahamu kilimo bora cha njegere na jinsi ya kudhibiti wadudu waharibifu

Nasi usisahau kutupa matokeo kwa kile utakachoambiwa,Ila njegere ni zao ambalo kulima na kuvuna kwake ni ndani ya kipindi kifupi sana,Wakati wa kuvuna ukaja bahatika ukakuta soko lipo vizuri basi wewe ni furaha hapo
Pamoja mkuu ntakuja apa kutowa mrejesho..nategemeaa kukodi shamba mwezi wa nane..nakuanza kupanda mwezi wa kumi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…