Watu weusi mnaoishi Africa mmerogwa vibaya mno.
Mzungu and Mwarabu must come back to colonize you maana maujinga yamewajaa
Ndo uwezo wako wa kufikiria ulipoishiaHii ni laana kwa utawala wa mabavu wa ccm na wanachama wake, Mungu ataliangamiza Taifa na sisi sote kama hamtahacha unyama mnaoendelea kuutekeleza kupitia Tpdf. Police, NEC, prison, mahakama, TISS
Sent using Jamii Forums mobile app
Hofu tuu mkuu nawaza haka katoto nimekapata kwa tabu halafu kimbunga cha korona inakuwaje? YaanKwani Huyo mtoto wako wa kiume ameambukizwa corona mkuu?[emoji44]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuuDoto mkali umerudi makambako sasa!?
Yaani hatari sana! Hofu imekuwa kubwa kuliko hata korona yenyewe
Duh!..Humu ndani kuna uhusiano kati ya ID na maandishi ya wahusika? πππSi ajabu kwa mtu mwenye ID name kama hiyo kuja na huu mtazamo.
Wapo watu wanapiga hela ndefu kupitia vikao na kusambaza vifaa tiba hutaamin mkuu
Corona virus pandemic.
Italy [emoji634]
- 27 980 infected.
- 2 158 dead.
- 7.7% death rate.
Spain [emoji633]
- 9 940 infected.
- 342 dead.
- 3.4% death rate.
France [emoji632]
- 6 633 infected.
- 148 dead.
- 2.2% death rate.
USA [emoji631]
- 4 348 infected.
- 73 dead.
- 1.7% death rate.
Horrible [emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wezi na wabakaji nao wamebuni mbinu mpya! Wana pulizia dawa ya usingizi kwenye mask; halafu wanakugawia uvae, ukivaa tu unasinzia wanafanya yao chap
I bet wazee wanaokufa ni sababu ya ugonjwa wa moyo, panic ndio inayouwa watu sio COVID-19.Yaani malaria licha ya kuwepo na tiba pamoja na njia za kujikinga lakini kwa mwaka inaua watu mpaka laki 5 ila tunaiona ya kawaida na hata hatukumbuki kulala na vyandarua,
Huu ugonjwa bado haujapatiwa dawa lakini ndani ya miezi 4+ fatality ni 7000 kasoro ila tunauogopa sana.
Sijui kwa sababu mkubwa kasema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza inatakiwa itangazwe official ili mtu aliekutana nae ajijue kabisa ......wahenga walisema mficha uchi hazaihuyu jamaa anajua athari za kupost picha na majina ya mgonjwa kweli? au ndo kutafuta umaarufu mtandaoni
Duh!..Humu ndani kuna uhusiano kati ya ID na maandishi ya wahusika? πππ