Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

NEWS ALERT: Iran's deputy health minister (left) tests positive for coronavirus; he had previously looked unwell during a press conference. (video)

Your browser is not able to display this video.
 
Wacha tungojee zaidi ukweli zaidi utajulikanika zaidi japo naamini kwa asilimia 30 nikweli

Sent using Jamii Forums mobile app
inaweza kuw kweri 7bu iran atataka haioneshe dunia anaweza halafu dawa ikiwa confmed anaweza azisha propaganda marekani ndo kasambaza makusudi
ili tu apatwe kuungwa mkono na mataifa mengi
na hata km bado atapigana kufapona apate dawa ili ajiongezee credit sasa hiyo itakuwa manufaa kwetu sisi maskini afrcakabla ugonjwa haujafika
Duniani hakukosekani suluhisho la matatizo, hiyo njia yao hao Wairan inaweza ikawa ni suluhisho kamili, shida western hawataki kuonekana kushindwa

Sent using Jamii Forums mobile app
papa mapao hapo sasa iran ndo anapataka kuoneshana umwamba

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah kwa madawa hawa Wairan usiwe na wasi, wako vizuri




Iran has made considerable advances in science and technology through education and training, despite international sanctions in almost all aspects of research during the past 30 years. Iran's university population swelled from 100,000 in 1979 to 2 million in 2006.[citation needed] In recent years, the growth in Iran's scientific output is reported to be the fastest in the world.[1][2][3] Iran has made great strides in different sectors, including aerospace, nuclear science, medical development, as well as stem cell and cloning research.[4]

Throughout history, Iran was always a cradle of science, contributing to medicine, mathematics, astronomy and philosophy. Trying to revive the golden time of Iranian science, Iran's scientists now are cautiously reaching out to the world. Many individual Iranian scientists, along with the Iranian Academy of Medical Sciences and Academy of Sciences of Iran, are involved in this revival.[citation needed]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
haya mkuu ngoja tusikilizie
lkn si ushasikia waziri wao ameupata ugonjwa hvyo tusikilizie update zaidi kupata Uhakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah mkuu, unajua huu ugonjwa una nguvu sana, na kuenea kwake ni Rahisi sn, so huyo Waziri pia ni binaadamu, pia kuna yule doctor mkuu wa hospital moja China niliskia ameyapata haya magonjwa na amefariki, nimeona video yake leo huyo Waziri wa Iran anaongea kwa tabasam baada ya yule mgonjwa alietibiwa akapona na kusema watayadhibiti haya maradhi kutokana na kugundua hizo dawa
haya mkuu ngoja tusikilizie
lkn si ushasikia waziri wao ameupata ugonjwa hvyo tusikilizie update zaidi kupata Uhakika

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naibu waziri wa Afya nchini Iran aambukizwa Corona.... yeye ndiye alikuwa akisimamia Taarifa zote za Corona, jana alionekana akitokwa jasho na kuchoka sana wakati akiwapa muendelezo wa Virusi vya Corona Waandishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ubaya Wa Kila Tunachokitafta Sio Chetu Baadae Tutawacha Watu Waje Wagombanie Mali Zetu Tulizozitafta Kwamajasho Yetu

Nkikumbuka Kipande Hiki Naumia Mno Ila Hua Siachi kutafta Tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran wamegundua dawa na taari kuna mgonjwa mmoja ametibiwa amepona, hio pic apo wanashereheka kwa kufanikiwa kupona mgonjwa kwa hio dawaView attachment 1368922

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka tumia akili. Virusi vya Korona hushindwa kwa asilimia 97-98. Kwa bahati mbaya zinabaki asilimia 2-3 ambako virusi vinashinda, hao ni wale wanaokufa baada ya kambukizwa. Ilhali idadi ya maambukizi inazidi kuwa kubwa sana, idadi ya vifo inaongezeka.

Hadi sasa asilimia 5 au kidogo zaidi ni maambukizi mazito. Hapo maisha hutegemea hali ya mfumo wa afya nchini.
Maana kama hakuna hospitali zenye uwezo wa kutibu, au kama idadi ya maambukizi inapita nafasi za hospitali, tutona vifo zaidi.
Kuja vinakuja tu usiwe na wasiwasi.
Kumbuka tu kunawa mikono mara kwa mara. Na mara vimefika nchini, acha kuwasalimu watu kwa kupeana mikono.
 
mkuu ndo mana tunatafuta kwa bidii 7bu kuna watu nyuma tegemezi hvyo tukiaanguka leo tukiwaacha bila miongozo sahihi inakuwa shida mzee la sivyo ingekuwa ponda mari kufa kwaja
sasa hii ishu si unajua mari za urithi mzee kbla hamjagawana ukidedi wanarithi wenzio ambao najua fika hawawezi wasaidia chochote wanangu na mkewangu mm mari zangu zote zina majina ya wanangu hata nife leo kesho sina wasi
ila ilo la kusema niwaachie urithi hawa wachukue mln 10 yangu aisee hii dawa ije tu mzee baba
km wairan wanegundua jambo nzuri sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NEWS ALERT: Japanese woman who was allowed to leave Diamond Princess cruise ship after quarantine has tested positive for coronavirus. [NHK]
 
Itakua ww taari imeshaanza kukuathiri mkuu, hizo ni taarifa ww unakuja kutoka povu hapa? Fuatilia Habari za positive pia na sio uko negative tu, usiwe mvivu wa kufatilia Habari na kushinda JF tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili la meli ya Diamond Princess lilijulikana tangu awali kuwa hali itabadilika. Kuna idadi kubwa tu ya watu waliruhusiwa kuondoka na hivi sasa baadhi wameanza kuripotiwa kuwa na maambukizi. Visa vipya vinazidi kuongezeka.
 

hiyo kusema nchini ukiingia tuache kupeana mikno dah hiyo yote mbali
hapa nipo kwenye daladala tumeshonana hatari nawaza hili itakuaje unadhani ukiingia ugonjwa
halafu huwezi anini mkuu kuna watu mpk sasa hapa mjini DAR ES SALAAM hawajui km kuna ugonjwa wa Corona aisee sasa najiuliza wapo dunia gani siku ukiingia nchini dah ! sijui itakuaje yaan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakua ww taari imeshaanza kukuathiri mkuu, hizo ni taarifa ww unakuja kutoka povu hapa? Fuatilia Habari za positive pia na sio uko negative tu, usiwe mvivu wa kufatilia Habari na kushinda JF tu
Siogopi ugonjwa, naogopa kidogo hofu ya ugonjwa. Wengi wataambukizwa, nahisi pia TZ. Wengi sana wanaoambukizwa watapona, asilimia kubwa hata hawawezi kutambua waliingiwa na virusi.
Lakini wengine watagonjeka, na hao asilimia 2-3 watakufa. Au zaidi kidogo kama hospitali hazitoshi na watu hawatumii akili.

Muhimu ni tutunze akili njema. na hapa nasema: tunawe mikono mara kwa mara. Na pia virusi vitakapoingia - basi tuepukane kupeana mikono. Kwa Wairan nilikuta desturi njema (si wote wanafanya vile, lakini wengi kiasi); Unaweka mkono wa kiume kifuani juu ya moyo, unanama kichwa. Ni salamu ya heshima pia.
 
Wewe unaamini Corona haijatua Africa mpaka sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UPDATE: Korea Kusini

Visa vipya 84 pamoja na vifo vipya viwili (2) vimeripotiwa nchini humo. Jumla ya visa vyote nchini Korea Kusini hadi sasa ni 977 huku watu takribani 11 wakipoteza maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…