nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,915
- 7,210
AhsanteTafuta location ambayo utaweza kuuza chakula kwa bei ya juu mfano wali nyama kuanzia 3000/=
Chini ya hapo usifanye biashara hii kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhsanteTafuta location ambayo utaweza kuuza chakula kwa bei ya juu mfano wali nyama kuanzia 3000/=
Chini ya hapo usifanye biashara hii kabisa.
NashukuruMtaji unatosha kabisa, issue hapo location.
Kama utapata sehemu nzuri ambayo chakula unaweza kuuza Tsh 2000, ongeza na vinywaji baridi, pia weka na kijana wa chips maana wadada wengi ndo chakula chao
SawaKwa ufahamu wangu kikubwa ni usimamizi. Kuanzia manunuzi ie ubora wa materials, bei nk mpaka mauzo cz chakula hakina hesabu kamili inategemea idadi ya sahani (kama ndo kipimo). Bila hivyo andika maumivu
Sidhan kama upo serious. Vijana unaowatetea wanasmartphone za hadi laki tano,wananunua bando kila siku. Kwa kufupi inawezekana kuanza na mtaji mdogo. Mfano mimi nilifungua mgahawa kwa sh laki tisa tu na hapo nikiwa nmelipa kodi ya chumba miez 3 na kununua kila kitu. Na mgahawa huo ulinipatia sh. Elfu kumi kila siku ambayo nachukua sh 70,000/ kila jumapili hii ni sawa na sh. 280,000/ kwa mwezi hapo utashindwaje kulipa ada za shule kwa watoto? Shida ni kwamba wengi wetu hasa tuliajiriwa hizi biashara ndogo ndogo tunaziona ujinga.
Nikupe mfano mwingne kilo moja ya unga sh 1,400/ inatoa chapati za sh. 5,000/ zile chapati za 2 miatano so ukiuza supu na chai asubuh,mchana wali na ugali na ukakomaa mwenyewe baada ya miaka miwil unafungua hotel
Hakuna shida mkuu nitakupa mrejeshoUkifanikiwa kufungua utasema. Siku nikiwa na trip tanga nipite kwako kula mijichakula
Mkuu shukran wacha nitembee nayo1,200,000.mkuu inatosha kabisa kwa kuanza at initial stage then biashara itakapokuwa na uhitaji kuongezeka ndio unaweza ukafanya more investment for your business.
Mkuu shukran wacha nitembee nayo