Fahamu kuhusu Bunge Maalum la Katiba


Kwani wanaoshiriki hawakuwa wanafunzi wa shule za msingi, sekondari au vyuo?
 
Kwani wanaoshiriki hawakuwa wanafunzi wa shule za msingi, sekondari au vyuo?

Umesha weka neno HAWAKUWA,tunaongelea hawa waliopo sasa mashuleni na mawazo yao yanatakiwa kubebwa na wawakilishi wao ktk bunge la katiba
 
Kwa hiyo wafungwa nao wanahitaji mwakilishi?

wazo zuri sana,kumbuka kuwa wafungwa nao ni binadamu na wanahaki ya msingi ya kutoa maoni ktk jambo lolote lile,si wote maisha yao yataishia jera,lakini hata wale waliopo huko wangetaka katiba iseme jambo juu ya wafungwa,kwa mfano haki ya kufanya tendo la ndoa kwa wafungwa waliokuwa na ndoa halali na mambo mengine mengi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…