Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
- Thread starter
- #21
Kwanza,kwa taarifa zilizopo,Bunge Maalum la Katiba litafanyika katika Ukumbi wa sasa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Ndiyo kusema,litafanyika Tanzania Bara (Tanganyika).Pili,wajumbe kutoka Zanzibar hawatakuwa katika idadi sawa na wale wa Tanzania Bara.Imeshajidhihirisha hivyo katika uteuzi uliokwishafanywaNdugu Petro, bunge hilo litafanyika upande gani wa muungano? Zanzibar au Tanganyika? je kutakuwa na asilimia ya wabunge sawa kutoka pande zote za muungano?