Fahamu kuhusu gari aina ya Land Rover Freelander

Fahamu kuhusu gari aina ya Land Rover Freelander

Achana na hiyo gari mkuu, unless ununue Freelander td 4 2000 ambazo ni za kuanzia 2003 kwenda juu ambapo waliachana na engine kimeo za Rover K-series ambazo kuunguza head gasket ikiwa ndio ugonjwa wake mkuu na wakaanza kutumia engine za BMW's 2.0 common rail TD4 engine.

Inshort hilo gari huwa ni kimeo tu, kuna watu wametoa engine zilizokuja na hizo freelander na kuweka engine za rav 4 ambazo ni 3S gari zinafanya kazi lakini performance yake ni ya kuunga unga tu.
 
Jeff,
Tatizo la hizi magari ni engine, kama hujaaliagiza sikushauri ununue,.. Mimi langu nimelifungia engine ya Rav 4 na haisumbui tena naliuza mhitaji akuje PM.
 
Jeff,
Tatizo la hizi magari ni engine, kama hujaaliagiza sikushauri ununue,.. Mimi langu nimelifungia engine ya Rav 4 na haisumbui tena naliuza mhitaji akuje PM.
Bado sijaagiza mkuu. Asante kwa ushauri huu. Nimebadili mawazo nahamia suzuki escudo
 
Hizi ndio zitakuwa imara kuliko 2006 kuja juu? Unaweza kutupa sababu mkuu kwann unapendekeza ya miaka ya nyuma?
Yeah za miaka ya nyuma ni ngumu na imara zaidi compare to the latest ones. Hasa upate manual transmission unadunda nayo sehem yoyote. Ni gari za uhakika haiwezi kukulaza njiani iwe mvua Au jua.
 
Back
Top Bottom